BPM
JF-Expert Member
- Mar 10, 2011
- 2,760
- 573
kaa chini uzungumze na mumeo hamna kinachoshindikana chini ya jua usije ukasiliza maneno ya watu sio wote wanaokupenda jaribu kumshirikisha na Mungu
maana si kila muda unatakiwa uongee na mmeo masuala ya maisha na ndoa panga muda maalumu wa kuongea nae