we acha tu kuna mkaka Mmoja aliwahi kuniambia hivi "Sijui wanaume wa siku hizi ni Vipofu,
Why they don't see you the way I'm seeing you!!!!for real your a Super Woman... na ni mwanamke
ambae kila mwanaume mwenye akili anapenda kuwa nae" sisahau maneno yake hadi keshokutwa
Hizo EGO zao zinatutesa wallah..................
Nyamafu kweli wewe dada. unasema alikuwa anakusumbua sana huyo kijana wako (hawara hana talaka) bila shaka usumbufu wake uliujua,ukainua makongoro yako kwenda kumsikia baada ya kuona kwa simu haitoshi,kama ulimtolea nje na jamma akayarecord maongezi yenu kwanini akuache (ukatoa appointment ya kugegedwa) ikawa recorded,unataka jamaa aendelee kuwa tu Bushoke? Mbuzi kasoro mkia wewe, jamaa kajiweka pembeni kama 20% unakuja kulilia fb. Tulizana na uwe mkweli.
Huyu kuna jambo kubwa anaficha ambalo ndo kiini haswa cha tatizo.
Huyu kuna jambo kubwa anaficha ambalo ndo kiini haswa cha tatizo.
halafu why is it harder for men to FORGIVE!!!!!!!!
Mie sielewagi hata lakin sisi wanawake tuna vihere here vya kusamehe hao.......
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman
Madada wa siku hizi huwa mnakera sana,kwa kuingia katika mahusiano pasipo kutambua thamani ya mahusiano hayo.
Mapenzi yanapaswa kulindwa kama mboni ya jicho kujengewa uaminifu.
Umefanya makosa makubwa kwa uzembe wako wa kutofikiri:
1.Kama ulikwishaifahamu dhamira ya huyo jamaa anayekupigia simu,ni kwanini unapokea call zake?
~It seems bado unafanya selection ya wapenzi.
2.Pia,kilichokusukuma uende ni kipi?Endapo umeshajua anachokuitia.
~Je ukibakwa huko?
~Je mpenzi wako akikuona atakuelewaje?
3.Umeshapata akupendae,ni kipi kinachokufanya uendelee kusumbuka na wengne?
~Yaelekea hujaridhka na uliyenae na wewe ni msiri sana kwa mpenzi wako.
Ulitakiwa utafakari haya kwanza kabla ya kufanya uliyoyafanya.
WANAUME WENZANGU,WADADA WA SIKU HIZI wengi wao ni walaghai,tutoapo pesa ama tuingiapo gharama kwa ajili yao,tufanye tu kama tunatoa sadaka.
Na siwaelewi hawa viumbe wanatafuta nini katika mapenzi.
coz tumeumbiwa upendo.
biblia inasema 'enyi waume wapendeni wake zenu 'hawa wenzetu waliamriwa kupenda
My dear trulizana tu, huyo mmwanaume inawezekana amepata mtu mwingine ,sasa akawa anatafuta sababu ya kukuacha, kwa hio akatafuta kijana ambae atajifanya anakutongoza na ambae atahakikisha anarecord mazungumzo yoote mliokua mnaongea . wanaume wana mbinu nyingi sana za kumpiga mtu chini, huku wakijivua lawama. Jiulize swali moja aliwezaje kurecord mazungumzo yote mliyoongea na huyo kaka mwingine wakati hakuwepo eneo la tukio , endapo hakumtuma? Mbananishe huyo kaka ulieenda kuonana nae atakuambia ukweli. pole sana.
kaapa hawez nisamehe.kanirekod mazungumzo yote.hata cjielew ndugu zangun.msaada jaman
hahahahhahaha watoa ushauri mmenivunja mbavu jaman
Hata mimi nashangaa alienda kusikiliza nini,mwanamke uibomoa nyumba kwa mikono yake mwenyewe.Hahahaaaaa mapenzi haya.....
sa we huyo mkaka ulienda kumsikiliza nini mlishindwa kusikilizana kwenye simu kweli!!!!!!
kuna mtu aliwahi kuniambia "Choices have consequences" sasa ndio hizo consequence waziface now
nenda nae taratibu tu though inauma kama hivyo ila anaweza kuja kukuelewa...........
MIMI ni mdada ambaye nimepata matatizo,
nilikuwa nina mpenz wangu, kwa kweli alinipenda sana.Kila nikichohitaji amenisaidia.
Wik iliyopita kuna mkaka alikuwa ananisumbua sana kuonana na mimi nikaamua kukubali kuonana nae ili nimsikilize anachotaka kuniambia.
Bahati mbaya mchumba wangu kasikia kila kitu,kaniacha hataki kabisa kunisamehe na kila nimpigiapo simu hapokei na saa nyingine anakata.
Naomba msaada wenu wakuu nifanye mbinu gani anisamehe?
Hadi mama yangu kaniombea msamaha lakini mchumba wangu kakataa.
Nifanyeje? jaman nimechanganyikiwa.
Naomba msaada wa mawazo.
Kashaulizwa sana hataki kusema.huyo mkaka ulipokutana nae alikueleza mambo gani?