Papa Mobimba
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 1,153
- 1,359
Mpaka sasa sielewi. Hii ni njano(yellow) au dhahabu(gold). Mitihani yote nilijibu yellow. Sijui kama wenzangu hamjachanganyikiwa
umeambiwa rangi ni njano ila jina ni gold usichotaka kuelewa ni nini sasaSiku nikikutana na gold ya njano ntaamini hiyo ni gold
Na chini ni blue au mawingu/bahari?wizara ya mambo ya Lugora imejua kutundindinganya mara hiihiyo ya katikati ni nyeusi(black) au mkaa(charcoal) ?
Kulikuwa na upotoshajiInamaana shuleni huwa tunadanganywa kumbe aaah... Toka zamani mpaka sasa hivi wanafunzi wanajua ni njano... Wanajibu mitihani ya kitaifa na wanapewa tiki!
Itakua ni lami (tarmac)hiyo ya katikati ni nyeusi(black) au mkaa(charcoal) ?
Hiyo ni rangi charcoal mkuuhiyo ya katikati ni nyeusi(black) au mkaa(charcoal) ?
Wewe km hujui maana ya rangi zilizopo hadi umri ulio nao basi kaa hivyo hivyo tu .Itakua ni lami (tarmac)
Nilisema hivyo kusudi kabisa, kwa sababu awamu yenu hii ya tano inapenda sana mabarabara....na wewe uwe unajiongeza kidogo usijione unajua sana,haya nenda saidia dada zako kukatakata vitunguu jikoni.Wewe km hujui maana ya rangi zilizopo hadi umri ulio nao basi kaa hivyo hivyo tu .