Mkurugenzi Wa Mashirika
Member
- Oct 23, 2022
- 97
- 99
Mambo zenu wakubwa,
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Mimi ni kijana mwezenu nina shahada ya fizikia na kemia. Shahada yangu nilifaulu vizuri sana kwa GPA ya 4.
A-level nilifaulu vizuri masomo ya PCM yaani Physics, Chemistry na Mathematics.
Nimebobea vizuri sana katika masomo ya Physics na Chemistry.
Nilianza kufundisha masomo ya Physics na Chemistry katika shule za sekondari kuanzia mwaka 2013.
Nikiwa katika kufundisha wanafunzi wangu wamekuwa
wananielewa vizuri sana na kufanya vizuri sana katika mitihani yao ya taifa.
Ahsanteni sana.
Naomba niende kwenye mada moja kwa moja.
Mimi ni kijana mwezenu nina shahada ya fizikia na kemia. Shahada yangu nilifaulu vizuri sana kwa GPA ya 4.
A-level nilifaulu vizuri masomo ya PCM yaani Physics, Chemistry na Mathematics.
Nimebobea vizuri sana katika masomo ya Physics na Chemistry.
Nilianza kufundisha masomo ya Physics na Chemistry katika shule za sekondari kuanzia mwaka 2013.
Nikiwa katika kufundisha wanafunzi wangu wamekuwa
wananielewa vizuri sana na kufanya vizuri sana katika mitihani yao ya taifa.
Ahsanteni sana.