Natafuta kazi ya kufundisha (ualimu)

IgKim

Member
Jul 31, 2018
28
21
Mimi ni Mwalimu, nina diploma masomo ya chemistry na Biology uzoefu katika kufundisha ni miaka minne, nina uzoefu kwa primary schools kufundisha science and mathematics na secondary schools mwenye shule ama anaejua shule inayoitaji Mwalimu Tafadhali tushirikishane haswa shule za Arusha na Kilimanjaro.
 
Mimi ni Mwalimu, nina diploma masomo ya chemistry na Biology uzoefu katika kufundisha ni miaka minne, nina uzoefu kwa primary schools kufundisha science and mathematics na secondary schools mwenye shule ama anaejua shule inayoitaji Mwalimu Tafadhali tushirikishane haswa shule za Arusha na Kilimanjaro.
NAFASI YA KAZI KWA WALIOSOMEA UALIMU MWENYE CERTIFICATE AU DIPLOMA YA UALIMU

Wanahtajika waalim wa shule watatu wawe wamesomea fani ya elimu ya Diploma au certificate kituo cha kazi kitakua ni Mbeya
Wanahitajika wanawake watatu....Ualimu wa shule za chekechea
Pia uwe unaweza kuongea kingereza vizuri
Kama una vigezo nenda watssap 0624-088-380
Wahi ni fursa nzuri mno

Share kwa wengine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom