kantalambazi
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 2,010
- 650
Uongo mwingine bhana kawaambie wasiojua hayo mambo.
Naomba usinichukie naona kuna sehemu nimekukwazanimekuchukia
ndiyo we kila siku kutusema tu wanawake vbaya mfyuu kama vile we umeumbiwa matukioNaomba usinichukie naona kuna sehemu nimekukwaza
Mkuu mimi nilipigwa usingizi! ile juice kuna kitu aliweka uko kwa sababu kama ilikua imeandaliwa kitambo kwa nini atumie mda mrefu vile?Itakuwa na wewe ulipenda,mimi huwa naamin mwanaume hawez bakwa na mwanamke,kama hupendi mashine itasimama vipi?
Samahani naona huamini maisha yangu.ndiyo we kila siku kutusema tu wanawake vbaya mfyuu kama vile we umeumbiwa matukio
Umeona eenhSipotezi wino wangu hapa, huyu mtu kila siku ana story mpya inayokinzana na ile iliyopita...
Kama una mke na watoto kweli basi wamepata hasara. Kila la kheri.
Kumbe!! Hovyo kweli!!Sipotezi wino wangu hapa, huyu mtu kila siku ana story mpya inayokinzana na ile iliyopita...
Kama una mke na watoto kweli basi wamepata hasara. Kila la kheri.
Hapo naona umechanganya na ile tunaita Nusu Kaputi inayotumika Hospital kabla ya upasuaji ambayo inakuwa na Ganzi, "mpwa wangu alipotahiriwa alikuwa akilia sana kutokana na maumivu baada ya ganzi kuisha sasa mimi kuona hivyo na ikizingatiwa yeye mwenyewe(Mama wa Mtoto) ni Muuguzi nikamuuliza kwa nini usimpe dawa ya usingizi alale?akanijibu wazo zuri, akachukua kidonge kimoja akampa mtoto hakulala kama nilivyotarajia, alilegea tu". Kuhusu Biology nimesoma tena nilikuwa na ndoto ya kuwa Daktari Bingwa wa Upasuaji, sasa wewe unaejua endelea kusema mtu akipewa dawa za usingizi sense zote zinakata.
na waliokubaka?Mkuu mimi nilipigwa usingizi! ile juice kuna kitu aliweka uko kwa sababu kama ilikua imeandaliwa kitambo kwa nini atumie mda mrefu vile?
Tuko kwenye foleni hapa kucheki VVU kwanza.
na waliokubaka?
AHAHAHAHHAHAHAHHAHAHHAHHAH
we nae nia yako tujue unaweza kumuu wanawake watatu,haya tushajua!
halafu?
as if kuna mtu anataka miguvu guvu kama unachimba makaburi Milimani!
Lakini amepata zawadi kubwa kama jina lake.Kumbe!! Hovyo kweli!!