Nimebakwa na wanawake watatu

Nimebakwa na wanawake watatu

Hivi mtu akizima jogoo hawezi kuamka, never thought about it. Mbona ukilala usingizi ukishtuka usiku wa manane kitu kipo 'stand up'?
Sio usiku tu hata ukilala mchana ukishtuka unakuta kitu kimesimama
 
Mwanaume habakwi wewe,.....tengua kauli haraka.
 
Hivi mtu akizima jogoo hawezi kuamka, never thought about it. Mbona ukilala usingizi ukishtuka usiku wa manane kitu kipo 'stand up'?
Huwa ni kwa sababu ya mkojo ndo maana inakuwa hivyo..ila tofauti na hapo hakuna kitu.
 
Sio usiku tu hata ukilala mchana ukishtuka unakuta kitu kimesimama
Yeah, sasa mbona watu wanamuandama mleta mada kuwa hawezi kusimamisha wakati yupo unconscious?

Naamini mtu anaweza kusimamisha while asleep/unconscious na akamwaga wazungu bila kujua. After all, erection is just the flow of blood into the penis na sio kila mara inakuwa controlled na ubongo.
 
Yeah, sasa mbona watu wanamuandama mleta mada kuwa hawezi kusimamisha wakati yupo unconscious?

Naamini mtu anaweza kusimamisha while asleep/unconscious na akamwaga wazungu bila kujua. After all, erection is just the flow of blood into the penis na sio kila mara inakuwa controlled na ubongo.
Yap umeongea ukweli, labda mapigo ya moyo yasimame
 
Nipe ushawishi wa kisayansi angalau nitakuelewa.

Ukipiga bao la ndoto nyevu unakuwa conscious au unconscious??
Unakuwa conscious maana unakuwa unafanya vitu halisi japo ni katika indirect way..
 
Usifanye hvo wewe sio mwanamke,chamsingi subiri miezi 3 kapime HIV,ukiwa hauna potezea......kumbuka wanaume tunajukumu la kuwatomb* wanawake kwa muda wowote watakao hitaji,sasa ukiwaadhibu sio fear,utakuwa umetudhalilisha wanaume
 
Nipe ushawishi wa kisayansi angalau nitakuelewa.

Ukipiga bao la ndoto nyevu unakuwa conscious au unconscious??
Mfano unapokuwa ukiota unakojoa...lazima uote umefanya kitendo cha kukojoa ndipo ukojoe kweli..
 
Huu ni uongo ufananao na ukweli. Haiwezekani uwekewe kitu kwenye juice unywe, uishiwe nguvu ulale na jogoo awike bila hisia zako za akili na mwili halafu ubakwe bila kujijua na kuja kuamka uko hoi !! "Terrible"
Kama angekuwa mwanamke ingekuwa kweli, lakini mwanaume anawezaje kufanya tendo la ndoa akiwa amelala, hisia zitatoka wapi ili kitu isimame !!
 
Nia marafiki wa tatu tumefahamiana toka mwaka juzi, wadada wawili wa kike mapacha na dada yao wametofautiana miaka miwili.

Tumekua tukibadilishana mawazo na kusaidiana pale msaada unapohitajika mfano kama kutafuta mafundi ujenzi, umeme nashughuli nyingine ambazo wao wanawake huwa wanamtegemea mwanaume.

Kwa nafasi niliyonayo nimekua kama msaidizi wao wa karibu sana. Siwezi kuorodhesha yote niliyowafanyia ni mengi mno ila akilini mwangu nilijua ni watu wangu tuu wa karibu hivyo maisha yamesonga hadi sasa.

Mimi nimeoa na nina familia ya watoto wawili na mke. Leo mchana waliniita wakaniambia nikawapige tafu basi mimi nikaaga nikaenda. Kufika nikawakuta wako mezani wanakula, wakanikaribisha mimi nikaendelea kidogo kwa sababu nilikua nimetoka kula mda sio mrefu.

Nikawaambia wanipe juice niwasindikize kidogo. Basi wakafanya hivyo baada ya dk kadhaa juice ikaingia mimi nikaanza kunywa mdogo mdogo. Nakumbuka tulitumia zaidi ya nusu saa, tukipiga stori za hapa na pale.

Nikaanza kujisikia siko fresh nikawaambia ngoja nilale hapa kwenye kochi halafu nyie mkiwa sawa nishtueni twende. Huko ndo nilipotea kabisa nikaja kushtuka mida ya sa kumi na moja niko hoi.

Any way kilichonikuta leo nawahakikishia nitamwadhibu mmoja baada ya mmoja hadi nafsi yangu iridhike. Yani hawa wamenidhalilisha kiasi hiki? Hapana hii ni siri yangu na wao kama wako huku msome huu uzi lazima niwafanye mbaya tuu. Mimi sio wa kufanyiwa huo upuuzi.

Na kwanzia sasa sina mda na nyie. Nimekua nikiwasaidia kama ndugu zangu leo hii mnanivua nguo na kunifanya kama mume wenu wanawake wa tatu? Na hapo mnajua mimi ni mume wa mtu?

Hapana uchungu nilio nao lazima nitawafikisha pabaya.
Mh! hizi story za wavulana ni shidaaaaaa.....Labda nikuulize swali moja tu, wewe ulibakwa au ulitumika?
 
Itakuwa na wewe ulipenda,mimi huwa naamin mwanaume hawez bakwa na mwanamke,kama hupendi mashine itasimama vipi?
 
Back
Top Bottom