Nimebakwa na wanawake watatu

Nimebakwa na wanawake watatu

Ina maana hiyo juice uliyokunywa ndo ilisimamisha mashine wakati ukiwa huna fahamu ? natamani umalizie kilichoendelea kwamba ulipoamka ukajikuta uchi na wao uliwakutaje ? manake tunashindwa kukushauri manake mara useme mengine siri yako sasa sijui walijiingiza kunako siko au walikupiga picha yaani unatuacha hewani tu
Nilikua uchi kitandani kwao ndio.
 
Nia marafiki wa tatu tumefahamiana toka mwaka juzi, wadada wawili wa kike mapacha na dada yao wametofautiana miaka miwili.

Tumekua tukibadilishana mawazo na kusaidiana pale msaada unapohitajika mfano kama kutafuta mafundi ujenzi, umeme nashughuli nyingine ambazo wao wanawake huwa wanamtegemea mwanaume.

Kwa nafasi niliyonayo nimekua kama msaidizi wao wa karibu sana. Siwezi kuorodhesha yote niliyowafanyia ni mengi mno ila akilini mwangu nilijua ni watu wangu tuu wa karibu hivyo maisha yamesonga hadi sasa.

Mimi nimeoa na nina familia ya watoto wawili na mke. Leo mchana waliniita wakaniambia nikawapige tafu basi mimi nikaaga nikaenda. Kufika nikawakuta wako mezani wanakula, wakanikaribisha mimi nikaendelea kidogo kwa sababu nilikua nimetoka kula mda sio mrefu.

Nikawaambia wanipe juice niwasindikize kidogo. Basi wakafanya hivyo baada ya dk kadhaa juice ikaingia mimi nikaanza kunywa mdogo mdogo. Nakumbuka tulitumia zaidi ya nusu saa, tukipiga stori za hapa na pale.

Nikaanza kujisikia siko fresh nikawaambia ngoja nilale hapa kwenye kochi halafu nyie mkiwa sawa nishtueni twende. Huko ndo nilipotea kabisa nikaja kushtuka mida ya sa kumi na moja niko hoi.

Any way kilichonikuta leo nawahakikishia nitamwadhibu mmoja baada ya mmoja hadi nafsi yangu iridhike. Yani hawa wamenidhalilisha kiasi hiki? Hapana hii ni siri yangu na wao kama wako huku msome huu uzi lazima niwafanye mbaya tuu. Mimi sio wa kufanyiwa huo upuuzi.

Na kwanzia sasa sina mda na nyie. Nimekua nikiwasaidia kama ndugu zangu leo hii mnanivua nguo na kunifanya kama mume wenu wanawake wa tatu? Na hapo mnajua mimi ni mume wa mtu?

Hapana uchungu nilio nao lazima nitawafikisha pabaya.
UTATA WA BWANA YULE
 
Naisikitia familia yako....ikiwa wewe ndio baba na kichwa cha familia basi familia yako imeshapoteza muelekeo......
Mkuu jana nilishinda sebleni nikizuga naangalia TV, nikiwahoji maswali kadhaa leo tunaenda kupima ngoma kwanza maana hapo ndo nachoka kabisa kama hawajaadhirika ndio ntakua katika amani na nafasi nzuri ya kuwaadhibu ipasavyo.
 
Nyote niliowa Quote naomba niwaulize kabla sijajua jinsi zenu, je, kwa kawaida Mwanadamu anapolala huwa anajitambua au hajitambui, kama hajitambui kwa nini Mwanaume aliyekamilika akiamka hukuta UUME UMESIMAMA? Binafsi hata nikimaliza kujamiiana huwa nalala na nikiamka nakuta Uume umesimama tena, hivyo naomba mechi nyingine kisha ndo nasepa, hivyo nakubaliana na mtoa mada amewekewa dawa za usingizi amelala na wao wakambaka hii ni kweli, kama kuna wataalamu wa afya humu naomba waje walielezee kwa kina hili, ikumbukwe KULALA sio KUZIMIA (kupoteza fahamu kama mnavyodai)

Mkuu usilete ubishi, kama ungekuwa walao umesoma masomo ya sayansi wala usinge
leta ubishi, hivi unawezaje ku equate kupoteza fahamu na usingizi hivi ni vitu viwili tofauti,ukiwa usingizi mtu senses zote zina endelea kufanya kazi hisipo kuwa sense ya kuona - ukiwa usingizini mtu akikufinya utahamuka, kukitokea kelele utahamuka nk lakini ukiwa umepoteza fahamu sense zote zinakuwa shut down including sexual arousal - uwezi kabisa ku recall kilicho tokea - mtu anaweza kupoteza fahamu akabaki hivyo hivyo kwa wiki, miezi wakati mpaka miaka kabla fahamu azijamrudia - je, kuna binadamu analala wiki nzima kabla hajahamka?
 
Mkuu jana nilishinda sebleni nikizuga naangalia TV, nikiwahoji maswali kadhaa leo tunaenda kupima ngoma kwanza maana hapo ndo nachoka kabisa kama hawajaadhirika ndio ntakua katika amani na nafasi nzuri ya kuwaadhibu ipasavyo.

Wewe ni mwanaume lakini bado hujakomaa kuwa baba......

Kuwa baba ni zaidi ya kuwa na uwezo wa kumpa mwanamke mimba......

Unatakiwa ubadilike.....wacha mazoea ya kijinga na watu wajinga wajinga.....kumbuka kuwa hatima za watu kadhaa zipo nyuma yako.....hivyo anguko lako kama mhimili wao ni anguko lao pia.......

Be a man......
 
Nia marafiki wa tatu tumefahamiana toka mwaka juzi, wadada wawili wa kike mapacha na dada yao wametofautiana miaka miwili.

Tumekua tukibadilishana mawazo na kusaidiana pale msaada unapohitajika mfano kama kutafuta mafundi ujenzi, umeme nashughuli nyingine ambazo wao wanawake huwa wanamtegemea mwanaume.

Kwa nafasi niliyonayo nimekua kama msaidizi wao wa karibu sana. Siwezi kuorodhesha yote niliyowafanyia ni mengi mno ila akilini mwangu nilijua ni watu wangu tuu wa karibu hivyo maisha yamesonga hadi sasa.

Mimi nimeoa na nina familia ya watoto wawili na mke. Leo mchana waliniita wakaniambia nikawapige tafu basi mimi nikaaga nikaenda. Kufika nikawakuta wako mezani wanakula, wakanikaribisha mimi nikaendelea kidogo kwa sababu nilikua nimetoka kula mda sio mrefu.

Nikawaambia wanipe juice niwasindikize kidogo. Basi wakafanya hivyo baada ya dk kadhaa juice ikaingia mimi nikaanza kunywa mdogo mdogo. Nakumbuka tulitumia zaidi ya nusu saa, tukipiga stori za hapa na pale.

Nikaanza kujisikia siko fresh nikawaambia ngoja nilale hapa kwenye kochi halafu nyie mkiwa sawa nishtueni twende. Huko ndo nilipotea kabisa nikaja kushtuka mida ya sa kumi na moja niko hoi.

Any way kilichonikuta leo nawahakikishia nitamwadhibu mmoja baada ya mmoja hadi nafsi yangu iridhike. Yani hawa wamenidhalilisha kiasi hiki? Hapana hii ni siri yangu na wao kama wako huku msome huu uzi lazima niwafanye mbaya tuu. Mimi sio wa kufanyiwa huo upuuzi.

Na kwanzia sasa sina mda na nyie. Nimekua nikiwasaidia kama ndugu zangu leo hii mnanivua nguo na kunifanya kama mume wenu wanawake wa tatu? Na hapo mnajua mimi ni mume wa mtu?

Hapana uchungu nilio nao lazima nitawafikisha pabaya.
Huo ni uongo uliotukuka kama ulizima na dude nalo lilizima ila utakua ulijizimisha
 
mkuu big gift yule mama wa kazi(your temporary boss lady) ambae ulisoma na mwanae mshamalizana?,mbona mikasa yako yote imeegema kwenye ngono tu,una mwanamke kweli wewe?maana mtoto wa kiume ila unapenda sana kutongozwa...acha tabia hizo,zitakuathiri...afu utaanza kulalamika serikali imezuia vilainishi(lubricants)
 
mkuu big gift yule mama wa kazi(your temporary boss lady) ambae ulisoma na mwanae mshamalizana?,mbona mikasa yako yote imeegema kwenye ngono tu,una mwanamke kweli wewe?maana mtoto wa kiume ila unapenda sana kutongozwa...acha tabia hizo,zitakuathiri...afu utaanza kulalamika serikali imezuia vilainishi(lubricants)
Mkuu kila mtu ana mapito yake ila tuu tambua mimi niko stable na familia yangu iko poa. Yule mama nampiga kalenda bado maana bado nafsi yangu haijawa huru.
 
Je, Dokta alithibitisha mbegu za kike kwenye uume wako ili tujue kweli ulibakwa na sio kulawitiwa??
 
Huyu jamaa ni muongo maelezo yake hayajajitosheleza kukamilisha uongo wake inaa maana walikuwekea dawa ya kusimamisha uume au?...

Na kama hawakukuwekea ilikuwaje uume wako ukaingia kwao maana ikiwa imelala kuingia ni vigumu kwa sababu ni muscle in nature haina mfupa,

Mwanaume kubakwa si rahisi, labda useme walikushika shika ukaamsha hisia
Na wakati huo ulikuwa unajitambua vizuri tu
 
HAHAHAHA WE JAMAA!!! AU NI NDOTONI? MAANA STORY YENYEWE HAINA UHALISIA HII 🙂😎😕😱
 
Mkuu usilete ubishi, kama ungekuwa walao umesoma masomo ya sayansi wala usinge
leta ubishi, hivi unawezaje ku equate kupoteza fahamu na usingizi hivi ni vitu viwili tofauti,ukiwa usingizi mtu senses zote zina endelea kufanya kazi hisipo kuwa sense ya kuona - ukiwa usingizini mtu akikufinya utahamuka, kukitokea kelele utahamuka nk lakini ukiwa umepoteza fahamu sense zote zinakuwa shut down including sexual arousal - uwezi kabisa ku recall kilicho tokea - mtu anaweza kupoteza fahamu akabaki hivyo hivyo kwa wiki, miezi wakati mpaka miaka kabla fahamu azijamrudia - je, kuna binadamu analala wiki nzima kabla hajahamka?
Hapo naona umechanganya na ile tunaita Nusu Kaputi inayotumika Hospital kabla ya upasuaji ambayo inakuwa na Ganzi, "mpwa wangu alipotahiriwa alikuwa akilia sana kutokana na maumivu baada ya ganzi kuisha sasa mimi kuona hivyo na ikizingatiwa yeye mwenyewe(Mama wa Mtoto) ni Muuguzi nikamuuliza kwa nini usimpe dawa ya usingizi alale?akanijibu wazo zuri, akachukua kidonge kimoja akampa mtoto hakulala kama nilivyotarajia, alilegea tu". Kuhusu Biology nimesoma tena nilikuwa na ndoto ya kuwa Daktari Bingwa wa Upasuaji, sasa wewe unaejua endelea kusema mtu akipewa dawa za usingizi sense zote zinakata.
 
Hivi mtu akizima jogoo hawezi kuamka, never thought about it. Mbona ukilala usingizi ukishtuka usiku wa manane kitu kipo 'stand up'?
 
Back
Top Bottom