Nimebakwa na wanawake watatu

Nimebakwa na wanawake watatu

Jamani mkoje, muhusika akuwa usingizini alikuwa amepoteza fahamu, kama uwezi kutofautisha kupoteza fahamu na kuwa usingizini basi nakushauri waulize madaktari, maanake naona ubishi wako unakosa mantiki.
Ahaaaaa! Kumbe wewe ni mwanamke! Ndo maana hujui kwa nini Wanaume hatuitaji maandalizi kabla ya tendo la kujamiiana, yaani mwingine akipishana na mwanamke mwenye makalio makubwa tu utaona mbele kunatuna ghafla, jaribu kumuwekea dawa za usingizi mumeo akizimia kama unavyodai chezea dushe lake kisha rudi hapa utupe mrejesho, maana hakuna dawa inayoweza kumfanya mtu azimie ipo dawa ya kumfanya mtu alale, kama ipo labda ni ile inayotumika wakati wa upasuaji
 
Mmmh kama ulikuwa umezimia sasa ilisimama vipi mpaka wakajiridhisha, nenda hospitali ukacheki afya yako, isije ikawa wewe umebakwa na wanaume na sio wao, mana ile ikilala kazi zinafanyika kweli??
Hebu niwekee mimi dawa ya usingizi nikizimia chezea Dyudyu yangu kisha uje kuwaambia hapa kama ilisimama au la!!??
 
Hebu niwekee mimi dawa ya usingizi nikizimia chezea Dyudyu yangu kisha uje kuwaambia hapa kama ilisimama au la!!??
ha ha ha ha duh!! labda kama niko wrong ungefafanua kama upo huo uwezekano lakini sio kunijaribisha sumu kwa kuramba.
 
Mkuu ongea nao kiutu uzima muyamalize kwani hiyo ni siri yenu tu. Usiwalipizie kisasi kama unavyotaka huenda muda wote uliokuwa nao walikuwa wanakuchukulia kama mpenzi wao ila wakawa hawakuelewi wakahisi pengine unamatatizo kwenye nyeti zako licha ya kuwa na Familia yako, ongea nao kwa upole uwaulize kwa nini wamekufanyia hivyo ili ujue sababu hasa nini kisha ndo uchukue hatua unayotaka
Nashukuru kwa mawazo.
 
Unajua mwanaume ni tofauti sana na mwanamke Kimaumbile ua NGONO! Tofauti kubwa sana ni hii " ili tendo lifanyike, lazima uume usimame ( Dindability isome angalau 85°) na mwanamke kazi kubwa kabisa anayopaswa kufanya ili tendo litimie ni kupanua tu miguu" Hii inamaana kuwa mwanamke hata kama hana nyege wala hamu, nyege hizo na hamu zitakuja tu mbele kwa mbele baada ya kusuguliwa

Sasa wewe ulikuwa umeleweshwa madawa, ilikuwaje mboro isimame na usuguaji uendelee???
 
Unajua mwanaume ni tofauti sana na mwanamke Kimaumbile ua NGONO! Tofauti kubwa sana ni hii " ili tendo lifanyike, lazima uume usimame ( Dindability isome angalau 85°) na mwanamke kazi kubwa kabisa anayopaswa kufanya ili tendo litimie ni kupanua tu miguu" Hii inamaana kuwa mwanamke hata kama hana nyege wala hamu, nyege hizo na hamu zitakuja tu mbele kwa mbele baada ya kusuguliwa

Sasa wewe ulikuwa umeleweshwa madawa, ilikuwaje mboro isimame na usuguaji uendelee???
Labda tunatofautiana capacity of dindishability kutoka ntu na ntu.
 
I find it very hard to believe,ulijuaje kama umebakwa being a man? na if yes umebakwa ulikua umelala fofofo umejikuta huna surual au huna Boxer au ulivaa kikoi?what i know ukilala na hiyo kitu network ina kata walisimamisha kwa kuweka miti au wali tumia as it is,au hua inasimama when ur asleep?
 
Unajua mwanaume ni tofauti sana na mwanamke Kimaumbile ua NGONO! Tofauti kubwa sana ni hii " ili tendo lifanyike, lazima uume usimame ( Dindability isome angalau 85°) na mwanamke kazi kubwa kabisa anayopaswa kufanya ili tendo litimie ni kupanua tu miguu" Hii inamaana kuwa mwanamke hata kama hana nyege wala hamu, nyege hizo na hamu zitakuja tu mbele kwa mbele baada ya kusuguliwa

Sasa wewe ulikuwa umeleweshwa madawa, ilikuwaje mboro isimame na usuguaji uendelee???
Watakuwa wametia midole nyuma maana ata mwandiko wake unaonesha hasira sana
 
Nashangaa mkuu
Labda teknolojia imebadilika wacha tusubiri wataalamu wengine ila unaweza kuwa macho kisha akatokea demu ambae hata hukuwahi kumuazia kutokana na tofauti zenu au labda chuma cha nguvu hapo mawasiliano hukatika ghafla na ukuni hata uupepeee vipi unakutizama tu sembuse huyu kauchapa kabisa usingizi?
 
Mie najiuliza mashine ilikuwa inasimama wakati wewe hujitambui?Nawaza tu lakini
Alivozima alipitiwa na usingizi na kwa kuwa alisinzia kumbe akaota yuko na mke wake hapo ndipo walaitumia nafasi hiyo



Najaribu kutafuta namna inavoweza kuwa angalau na unafuuu wa kuaminika vinginevyo katupiga mchanga wa macho
 
Nia marafiki wa tatu tumefahamiana toka mwaka juzi, wadada wawili wa kike mapacha na dada yao wametofautiana miaka miwili.

Tumekua tukibadilishana mawazo na kusaidiana pale msaada unapohitajika mfano kama kutafuta mafundi ujenzi, umeme nashughuli nyingine ambazo wao wanawake huwa wanamtegemea mwanaume.

Kwa nafasi niliyonayo nimekua kama msaidizi wao wa karibu sana. Siwezi kuorodhesha yote niliyowafanyia ni mengi mno ila akilini mwangu nilijua ni watu wangu tuu wa karibu hivyo maisha yamesonga hadi sasa.

Mimi nimeoa na nina familia ya watoto wawili na mke. Leo mchana waliniita wakaniambia nikawapige tafu basi mimi nikaaga nikaenda. Kufika nikawakuta wako mezani wanakula, wakanikaribisha mimi nikaendelea kidogo kwa sababu nilikua nimetoka kula mda sio mrefu.

Nikawaambia wanipe juice niwasindikize kidogo. Basi wakafanya hivyo baada ya dk kadhaa juice ikaingia mimi nikaanza kunywa mdogo mdogo. Nakumbuka tulitumia zaidi ya nusu saa, tukipiga stori za hapa na pale.

Nikaanza kujisikia siko fresh nikawaambia ngoja nilale hapa kwenye kochi halafu nyie mkiwa sawa nishtueni twende. Huko ndo nilipotea kabisa nikaja kushtuka mida ya sa kumi na moja niko hoi.

Any way kilichonikuta leo nawahakikishia nitamwadhibu mmoja baada ya mmoja hadi nafsi yangu iridhike. Yani hawa wamenidhalilisha kiasi hiki? Hapana hii ni siri yangu na wao kama wako huku msome huu uzi lazima niwafanye mbaya tuu. Mimi sio wa kufanyiwa huo upuuzi.

Na kwanzia sasa sina mda na nyie. Nimekua nikiwasaidia kama ndugu zangu leo hii mnanivua nguo na kunifanya kama mume wenu wanawake wa tatu? Na hapo mnajua mimi ni mume wa mtu?

Hapana uchungu nilio nao lazima nitawafikisha pabaya.
Ukikata moto na mpini hukata moto,sasa huo wa kwako ni wa aina gani?
 
Back
Top Bottom