nimebakwa juzi

.........lol...........lol.........lol.......... Dah!

Out of curiosity hivi yule mdogo wenu si mpaka aoneshe ushirikiano ndo aweza hail?

Ashadii : biere = Beer & bapa = Konyagi ya Chupa : ukichanganya hivyo viwili "bwana mdogo" can hardly resist!
 
Kama uko anda eji nenda kamshitaki..!

amen'zidi sana moa than 10 nahisi..........afu naskia ofisini hajakanyaga tangu jana!!...na mi pia sikanyagi hadi aanze yeye...wanasheria plz mniPM
 
Ulilifurahia lile tendo? Kama ni kweli basi acha tu wala hukubakwa ulikuwa na we umejiandaa!
 
Bure aghali, ulidhani zile bia wanyeshwa yamekuwa maziwa yale
Alikuwa analisha ng'ombe wake ili apate maziwa ya kumkamua

He he he, ushaongeza idadi tena
Kama walikuwa 76 wamekuwa 77
Duh! bora unaongeza mifugo wako
Umeanza mwaka vizuriiii

Tena nyu yia, "atabakwa" hivyo hivyo mwaka mzima!
 
Mlisema kwamba mlikua keroro? Sasa hapo tukusaidiaje? Chonde chonde ulevi ni nomaa,cha msingi mwambie akupe hela kwa kumpa huduma yeye si ndo alitaka
 
Yule ni babu sio mdogo. Kuwa na heshima :lol:



Mbona babu anategemea saana "V"? Basi bora useme kaka.... Siamni kabisa kua ni babu yenu yule...

BTW namuheshimu saana hilo hata wandani wangu aelewa.....lol... :A S embarassed:
 
Acha kumshusha.
Yule ndio mkubwa na sie wadogo wake.
OTIS

Ashadii : biere = Beer & bapa = Konyagi ya Chupa : ukichanganya hivyo viwili "bwana mdogo" can hardly resist!

Kaka zangu nimegundua nimekosea... Si wajua tena mtu chake; hivo nyie mwaelewa zaidi.... Post hii ushahidi kua sasa nimeelewa...:biggrin:


Mbona babu anategemea saana "V"? Basi bora useme kaka.... Siamni kabisa kua ni babu yenu yule...

BTW namuheshimu saana hilo hata wandani wangu aelewa.....lol... :A S embarassed:
 
Mkuu sema ukweli wako isijekuwa ulichakachuwa na wewe ukachakachuliwa maana siku hizi wanawake wenye jinsia mbili wako wengi
 
amen'zidi sana moa than 10 nahisi..........afu naskia ofisini hajakanyaga tangu jana!!...na mi pia sikanyagi hadi aanze yeye...wanasheria plz mniPM
Kama uko over 18 hujabakwa... Sasa hukanyagi ofisini kisa nini? Wachezeya kazi wewe eeh? Na je ikitokea jimama asikanyage kabisa itakuwaje?
 
Pole sana kwa yaliyokukuta. Kama ulipata mshindo, u don't qualify kwa msaada wa kisheria. Ungeweza kupata profylaxis endapo ungebakwa bila kinga. Now that u know uko vulnerable, nakushauri ununue paper spray kwa ajili ya kujilinda as binduki kama yangu ni ghali kiasi.
 
oohoooo si uliona utamu au si mtamu, km kitu kinalipa we piga kazi, ila usisahau dawa ya penzi.
 
mwaka mpya haujaingia bado.
Bila shaka mtoa mada atakuwa hana watu wanaomtegemea.
Watu tunawaza ada hapa.
 
huo ubakwaji wako hauendani na sheria za tanzania,
kifupi hujabakwa sema ulipata ya mteremko.
 
huyu dada nafanya nae ofisini.
huwa tunamazoea ya kupiga story mbili tatu wkat wa kazi na ni ya kawaida na hajawahi kunionyesha hisia zozote za mapenzi.

hajaolewa,ni mtu wa makamo around 40yrs..ana mtoto mmoja..akanialika kwake nikamtembelea niu yia..jioni ivi!

basi stor za hp na pale zikaendelea hasa hasa tulikua tunawazungumzia wafanyakaz wenzetu.......kilaji kilikua biere na yeye bapa!!

mara while on the way akanirukia kwenye sofa na kuniambia leo ni leo lzm nimsaidie amevumilia sana...!!huku akiendelea na mahaba ya ajabu nikapagawa..!!akili ikahama...nikashindwa kufurukuta jinsi nlivyokua nimebananishwa!!.........within a second alikua tyr yupo mtupu...........nashkuru alinivalisha dawa ya pendhi!

je naweza kumchukulia hatua za kisheria?.........naomba wataalam wa sheria wanipe muongozo hili limekaaje!!....nipo sirias wadau

I wish nipafahamu anapokaa huyo mdada!
 
Back
Top Bottom