Mvaa Tai
JF-Expert Member
- Aug 11, 2009
- 6,159
- 4,443
Nimesoma hii statement nikiwa napeleka kikombe cha chai kinywani, watu wengine bwana aaaagh!!!!next time kula tigo mpaka aharishe ndio akili itamsogea
Nimesoma hii statement nikiwa napeleka kikombe cha chai kinywani, watu wengine bwana aaaagh!!!!next time kula tigo mpaka aharishe ndio akili itamsogea
Boss ever been Lucky in your teenage years? lol
Alikuwa kapewa nusu kaputi
Ile wanayochoma kwenye uti wa mgongo
viungo vingine vilikuwa shupavu kama mkuki wa mmasai
huyu dada nafanya nae ofisini.
huwa tunamazoea ya kupiga story mbili tatu wkat wa kazi na ni ya kawaida na hajawahi kunionyesha hisia zozote za mapenzi.
hajaolewa,ni mtu wa makamo around 40yrs..ana mtoto mmoja..akanialika kwake nikamtembelea niu yia..jioni ivi!
basi stor za hp na pale zikaendelea hasa hasa tulikua tunawazungumzia wafanyakaz wenzetu.......kilaji kilikua biere na yeye bapa!!
mara while on the way akanirukia kwenye sofa na kuniambia leo ni leo lzm nimsaidie amevumilia sana...!!huku akiendelea na mahaba ya ajabu nikapagawa..!!akili ikahama...nikashindwa kufurukuta jinsi nlivyokua nimebananishwa!!.........within a second alikua tyr yupo mtupu...........nashkuru alinivalisha dawa ya pendhi!
je naweza kumchukulia hatua za kisheria?.........naomba wataalam wa sheria wanipe muongozo hili limekaaje!!....nipo sirias wadau
i have been lucky all my life lol
umepiga kavu usitudanganye hapa..ivi wewe unadhani si watoto eeeh
hahaa mkuu natak anionyeshe tofauti kwa hili
mara while on the way akanirukia kwenye sofa na kuniambia leo ni leo lzm nimsaidie amevumilia sana...!!huku akiendelea na mahaba ya ajabu nikapagawa..!!akili ikahama...nikashindwa kufurukuta jinsi nlivyokua nimebananishwa!!.........within a second alikua tyr yupo mtupu...........nashkuru alinivalisha dawa ya pendhi!
Ungepiga kelele au alikuwekea matambara mdomoni,teh teh ulibakwa ukakumbuka kuvaa dawa ya pen'dhi na mtarimbo ukapata hisia zote we ukalala kama gogo !