Ha ha ha. ..iyo Aya ya mwisho imenichekesha sanaSend a thief to catch a thief.
Huwezi kumcontrol mwanadamu 100%, binadamu ni kiumbe dhaifu.
Ukiendelea kupambana na mwanamke muda si mrefu utaanza kuhudhuria Jakaya Kikwete Cardiac Institute kwa Dr Janabi wakati mwanamke atasajili laini nyingine
Asipoona hapa na kupafanyia kazi basi itakuwa karogwa, huyo mke wa deepond analiwa kama vile yeye anavyokula, na alibadilisha majina baada ya kuona mme kashamshtukia...kazi kwake 😂😂😂😂 KATAA NDOA NDIO MUDA WAO WAKUJICHUKULIA POINT HAPA, kila siku unamsifia mke wako kuwa nai mwaminigu njemba zinakuchora tu😂😂😂😂Boss hakuna cha family wala friends hayo majina yamebadilishwa tu baada ya kugundua amekosea akakupigia na hiyo line na hata kama yatakuwa ni ya family na friends wake atakuwa ameyaweka kimkakati baada ya kujua tayari ameshayakoroga so akaona atengeneze trust kwako kwa kusave majina kadhaa ya marafiki na ndugu zake na huenda mhusika ameshafutwa namba yake kwenye hiyo line na kupewa full info. So kazi ni kwako kuujua ukweli ambao ukimsikiliza yeye siyo rahisi sana kuujua.
Ila kijana wako wa kazi kuikana hiyo line pamoja na leading questions za your wife tayari ujue hiyo line siyo salama kabisa kwako. Ukimbana seriously utaujua ukweli ila sasa je uko tayari kukabiliana na ukweli unaoutaka kuujua?
Duh!!,Mtenda hutendwa!,Kwamba mleta uzi ni mnyanduaji wa wake za watu?Yawezekana yeye ndo sababu, ameshajua yote anayotafanya, mwanamke anataka kumlipizia kisasi...
Amsamehe na abadili tabia yake, maana mtenda hutendwa...
Kweli mkuu, Tutafute vitu vya kutupa furaha na amani, shida hazitafutwi zinakuja zenyewe.Ha ha ha. ..iyo Aya ya mwisho imenichekesha sana
Pole sana, ila sitaki kusema kwa kuwa na line nyingine ndio labda ana cheat hapana ila sio mkweli, kuna kitu anaficha kwako sasa nini ngumu kusema. Hatua zote umefanya sahihi 100%, Mimi nadhani sababu umejuwa kitu basi usiliongelee tena hili na yeye jifanye kama umelipuuzia mwache aishi na wasiwasi. Mtu muongo atajinasa mwenyewe siku atakosea tu kama alivyokosea kukupigia na number mpya. kuwa kimya asijue unawaza nini hapo utamtesa kuliko kupiga kelele naye. Utampata tu kishaingia kwenye 18 ni kosa moja penalty.Nifumbue jicho Apo,mbinu ya kivita kivipi
Jamaa ACHA asalitiwe anamtesa mkewe sana yeye anadhani wanawake wanataka kushiba ,mda wote anarudi Nyumbani usiku ,hakai kutulia unategemea NiniWife anapata the best goal of the league, shuti kutoka katikati ya uwanja linamuacha kipa akiwa katoa macho, haamini anachokiona
Kwa sasa unampimaje mke wako je amekosa amani anaishi vipi tangu hilo tuko kutokeaKweli aisee,shida zinakuja zenyewe
Kamkee chako naye kumbe kajambazi kama wa kwetu tu 😅😅😅Punde nae wife kafika chumbani kapanic,analalamika Inamaana simuamini yeye MKE wa ndoa, namwamini kijana wa ng'ombe?
Nikamwambia "sio kwamba sikwamini, unachonambia hakiingii akilini. Kuanzia namna ulvonipigia Simu, Hadi kudai laini Ni ya kijana. Yaani laini ya kijana wa ng'ombe ikaseviwe majina ya ndugu zako na shoga zako, afu uyo uyo kijana asitambue hata jina Moja kwenye laini inayodaiwa Ni ya kwake. Hapa Kuna kitu kinafichwa."
Akasema,
"Hayo majina sijayakana,Ni yangu, Simu yangu ilkua mtu akipiga haileti majina kwenye kioo, ndo nikaamua kua nayasevu kila wakipiga" nkamuuliza "umeanza kuyasevu lini hayo majina?" Akasema "leo leo wote walkua wakinipigia Simu haileti majina".
Nkarejea kwenye Simu yake kubwa na kuangalia kwenye call records kuangalia majina yote 9 kwenye ile laini ya 900 Kama kweli namba zile 9 zote zilipiga. Nkakuta tangu mwezi wa 10 hamna hata Moja ilopiga,missedcall Wala kupokelewa kupitia Simu kubwa. Nkajua uyu mwanamke ananidanganya.
Nkamwambia wazi wazi
"wee mwanamke Ni mwongo, afu ujui unamdanganya mtu namna gani, humu kwny Simu yako hamna call yyt inayohusiana na hzo namba ulizosevu humu, vinginevyo useme uwa unatumia simu tofauti kuzipigia hizo namba zako. Na nataka niione hiyo Simu Sasa hivi" Akasema Hana Simu tofauti na hiyo.
Basi nikaona ananipotezea MDA,
Nmeondoka pale na kurud kuendelea na shughuli zangu. Lakini kichwan najua Kuna kitu hakiko sawa khs MKE wangu.
Hatua nilizochukua mpk sasa,
1. Nmeanza rasmi kuzifanyia uchunguzi namba Moja baada ya nyingine zilizoseviwa kwny Hii laini.
2. Nmeangalia usajili wa laini, namba imesajiliwa jina la kiume la kiislamu, nataka nianze kumfatilia kumjua mtu huyu Ni Nani.
3. Nmemuuliza mdg wake wa kike wife khs hizo laini (baadae asije geuza kibao Akasema laini za mdg wake), keshanambia haitambui laini Kama hiyo.
4. Kiukweli iman kwa MKE wangu imepungua mno, na kwa hili ntaanza kumchunguza kimya kimya Bila kupanic.
MWENYE MAWAZO,USHAURI AU MAONI TOFAUTI NAwaKARIBISHENI.
Nawasilisha
Francis Chacha WamburaBaada ya kukata Simu,machale yakanicheza sana. Nkaamua Kwenda nyumbani MDA huo huo, nmefk namkuta wife sebleni kashika Simu akitizama tv na shemej yangu (mdg wake wa kike).
Nmemuita chumbani kaja, nmemkalisha chini nikamwamvia anikabidhi Simu yake,Kisha nkamwambia "nataka kujua khs hii laini ngeni ulonipigia leo". Akasema "sio laini yangu, Ni laini ya kijana wetu wa ng'ombe, aliazima Simu yangu kubwa mara Moja ili awapigie videocall ndugu zake,ndo kasahau kuitoa"
Nkamwambia "kwaiyo iko wapi Hii laini" akasema "nishaitoa iko kwny kava la Simu, funua utaiona" nmefunua kweli nmeikuta. Ikabd kuiweka kwenye kisimu changu Cha tochi kuikagua.
Katk kuikagua, nikakuta haina sms yyt,ila Ina majina 9 yote yameseviwa majina ya ndugu na shoga zake wife. Nkahisi huyu ananidanganya, haiwezekani laini iwe ya kijana wa ng'ombe, afu phone book iwe na majina ya ndugu zake na shoga zake wife nnaowajua mimi. Ikabd kumfata kijana nmuulize.
Mke hachungwi kama unavyofanya wewe mwanamke utamuweza ukitumia akili sikuona sababu za kupanic na kuonesha hasira za wazi mbele ya mke wako ungefanya uchunguzi wa kimya kimya bila yeye kujua ingekusaidia na ungeupusha upotevu wa amani wa ndoa yenu hivi unavyofanya haumjengi mke wako bali unatengeneza chuki na upendo umepungua taratibu taratibuNahsi yeye ana nafuu,
Mimi ndo Sina amani kabisa