Nimfanye nini huyu binti?

Nimfanye nini huyu binti?

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
33,653
Reaction score
66,580
Habari za jioni

Juzi mshikaji wangu anachezea mpira timu fulani akaniambia Kuna manzi kakuelewa Sana ananisumbua toka mda anataka namba yako ni mpe? Nikamjibu mpe haina shida ila sitaki mswahili akasema poa.

Ee baada ya muda nikaona call nikamwambia sipokei namba ngeni jitambulishe nilimtumia text aka sema oh pole mm naitwa fulani nimepewa namba na rafiki yako nikaamua kumpigia sasa akakata akasema baba ameludi siwez ongea na simu na kaa kwetu

Mimi nikasema poa niambie akaaza kujieleza oh nakupenda Sana tu tangu muda na kuchora tu. Nikamwambia aha kumbe poa nikamuuliza unafanya ishu gani akasema nilikuwa nauza mashuka ya mtumba ila mtaji umekufa. Mm nikamuuliza Tena umekufa kivipi Bibi alikuwa anaumwa kwaio mama akasema nimpe ela zake nikamuuliza Tena kwaio mtaji haukuwa wako akasema mma alinikopesha kwaio ningepata faida ningepata mtaji wangu

Nikamuuliza Tena elimu yako akasema form four sikuendelea nilifeli bas akasema hapaa nataka mtaji mm ikabidi niaze kutoa nasaha za maisha nikageuka motivational speaker nikaona hanielewi Nika mpotezea.

Jana jioni amenitafuta Tena akaniambia kuwa na miss kuchat na ww wasp nikamwambia nitext kupitia namba 065687...... Akasema Sina simu Kuna mtu anayo mpka niigomboe nilikopa ela kwak nikamuuliza ulifanyia Nini iyo ela akasema siunajua Bibi alikuwa anaumwa nikakopa ela kwaio mpenzi nigombolee simu bas tuchat Nikamuuliza Tena unadaiwa Bei gan akasema 180000 nikamwambia now siwez kukuhaid chchote akasema sawa

Leo mchana washikaji nikaona text yake mamb nikajibu akasema ana mawazo nikamuuliza yanini akasema ana njaa kwao wamepiga mihogo yeye hataki anataka chips yai au ugali samaki sijamjibu swali lilokuja kichwani huy ananichukuliaje? Mtu hatujawai meet at hanijui sula yangu Wala mm simjui lakin anataka kunifanya Kama chuma ulete vile

Mwisho naleta kwenu nimfanye Nini uyu mtu mtakacho amua hapa mm nafanya utekelezaji
 
Ila Mkuu una tatizo mahali, unaikumbuka juzi ulisema Kuna njemba ilikubambia kwenye daladala,na hata huku mind.

Una udhaifu wa kuchukua hatua
Sio ivo Kuna wakat mzee unataliwa kuelewa mtu yaani kumuelewa kabla ujafanya maamuzi
 
Kuna mwingine ninawiki nae mbili tu lakini nimekaribia kunyosha mikono

Sisi wanaume sio kwamba hatupendi kuwahudumia wanamke ila pigo zao ni hatari

Kama ulitongoza manzi na hukukuomba
Hela ya kurekebisha simu
Ana njaa
Na pigo zingine kama hizo
 
Habari za jioni

Juzi mshikaji wangu anachezea mpira timu fulani akaniambia Kuna manzi kakuelewa Sana ananisumbua toka mda anataka namba yako ni mpe? Nikamjibu mpe haina shida ila sitaki mswahili akasema poa.

Ee baada ya muda nikaona call nikamwambia sipokei namba ngeni jitambulishe nilimtumia text aka sema oh pole mm naitwa fulani nimepewa namba na rafiki yako nikaamua kumpigia sasa akakata akasema baba ameludi siwez ongea na simu na kaa kwetu

Mimi nikasema poa niambie akaaza kujieleza oh nakupenda Sana tu tangu muda na kuchora tu. Nikamwambia aha kumbe poa nikamuuliza unafanya ishu gani akasema nilikuwa nauza mashuka ya mtumba ila mtaji umekufa. Mm nikamuuliza Tena umekufa kivipi Bibi alikuwa anaumwa kwaio mama akasema nimpe ela zake nikamuuliza Tena kwaio mtaji haukuwa wako akasema mma alinikopesha kwaio ningepata faida ningepata mtaji wangu

Nikamuuliza Tena elimu yako akasema form four sikuendelea nilifeli bas akasema hapaa nataka mtaji mm ikabidi niaze kutoa nasaha za maisha nikageuka motivational speaker nikaona hanielewi Nika mpotezea.

Jana jioni amenitafuta Tena akaniambia kuwa na miss kuchat na ww wasp nikamwambia nitext kupitia namba 065687...... Akasema Sina simu Kuna mtu anayo mpka niigomboe nilikopa ela kwak nikamuuliza ulifanyia Nini iyo ela akasema siunajua Bibi alikuwa anaumwa nikakopa ela kwaio mpenzi nigombolee simu bas tuchat Nikamuuliza Tena unadaiwa Bei gan akasema 180000 nikamwambia now siwez kukuhaid chchote akasema sawa

Leo mchana washikaji nikaona text yake mamb nikajibu akasema ana mawazo nikamuuliza yanini akasema ana njaa kwao wamepiga mihogo yeye hataki anataka chips yai au ugali samaki sijamjibu swali lilokuja kichwani huy ananichukuliaje? Mtu hatujawai meet at hanijui sula yangu Wala mm simjui lakin anataka kunifanya Kama chuma ulete vile

Mwisho naleta kwenu nimfanye Nini uyu mtu mtakacho amua hapa mm nafanya utekelezaji
Sasa hakujui sura kivip wakati umesema anakuonaga ndo akamuomba jamba mshikaji
 
Back
Top Bottom