Poleni kwa kuathirika, mi waaala!
Afadhali ya wewe umeambukiza wawili, Miye nimeambukiza ofisi nzima , mpaka za Jirani, nimesambaza mpaka ofisi za mbali. Sasa ni saa nne kasoro nimefika ofisini saa 2 kamili bado niko JF tu.
hahaaa hilooo!!! hata baa we si unasahau serengati unanogewa na masredi....mara kibao tu usitake nimwage siri hapa!!!!! mule mule tu
Poleni kwa kuathirika, mi waaala!
Posts: 4,759
Anything in excess is harmful. Unahitaji kupimwa kama wanavyopimwa wengine cd4 zao wapate tiba. Maana usipofanya kazi na kuathirika na hilo tu watoto watalala njaa.Ndugu wana Jamii forums,
natangaza rasmi mbele ya kadamnasi hili kuwa mimi ni muathirika.
Nikiamka asubuhi sifanyi kitu kingine zaidi ya kuingia Jamii,
Kazi haziendi bila ka window ka jamii kuwa minimized mara maximazed.
akili yangu inawaza Jamii Forums.
Kweli mimi ni muathirika na hii kitu imemeza kabisa ufahamu wangu.
Je kuathirika huku ni kwangu mie tu au na wenzangu wapo?
Anything in excess is harmful. Unahitaji kupimwa kama wanavyopimwa wengine cd4 zao wapate tiba. Maana usipofanya kazi na kuathirika na hilo tu watoto watalala njaa.
Leka
Atakayeona athari zinazidi anaweza kuomba ban ya hiari kwa mods
Niliposoma heading ya thread sikuelewa nikaona nifungue nisome yaliyoko kwenye thread,ndo nikaelewa,ni kweli waathirika tuko wengi,jamani tutatute tiba maana naona haka kaugonjwa kameshaingia kwenye damu sasa sijui tutakatibu kwa dawa gani.
Nimegundua dawa ya hivyo virusi.Kwa mawasiliano zaidi ni-PM
Yani nimeahirisha mambo ya muhimu kwa ajili ya upendo kwa JF.hao waathirika wanione.dah...shemeji ulitakiwa kuwa hapa JF saa hizi?