Nimeanza kujifunza uchawi!!!

Kinga yake ni nini kaka Mchawi? Ukisikia jina la Yesu katikati ya Uchawi athari zake ni nini? Ni mtu wa aina gani ambaye harogeki na ni yupi anayerogeka kirahisi? All the worst kaka mchawi

Wachawi wamejaa makanisani, wengine ni viongozi wa makanisa
 
we rukaruka tu wakujarbishe uone jambo. Ohooo!!!
 
ndio mimi ni bora zaidi yake kwa kuwa nimekombolewa na damu ya YESU aliyemshinda shetani pale msalabani
 
Kila fani ina miko yake sina uhakika ya miko ya wachawi lakini ninauhakika ukiukaji wa miko yao madhara yake ni makubwa sana hivyo basi kuwa mwangalifu sana maana unaweza kudhani wewe ndiye mjanga lakini ukaja kuta wao ndiyo wajanja zaidi.
 
Ni sawa uamuzi uliofikia ila kwa upande wangu ungemtafuta Mungu kwa udi na uvumba kwani yeye anaweza zaidi ya shetani ingawa shetani anamfahamu Mungu zaidi yetu binadamu na ndio maana alishushwa na kufungiwa kizimu sasa endapo ukimtafuta Mungu kwa roho na kweli ndipo utaweza ona ni jinsi gani shetani anavyotesa binadamu na uweze kuwasaidia ila huko unakwokwenda sidhani kama upo sahihi ni mtazamo wangu tu..
 

Know thy enemies as you know thyself!
 
Kila fani ina miko yake sina uhakika ya miko ya wachawi lakini ninauhakika ukiukaji wa miko yao madhara yake ni makubwa sana hivyo basi kuwa mwangalifu sana maana unaweza kudhani wewe ndiye mjanga lakini ukaja kuta wao ndiyo wajanja zaidi.

Ndinachi !
 
mwenye ramani ya lamadi ampe huyu akafufue misukule akishahitimu!
 

Ukifuzu ntakuja unifundishe tuition ya kuroga wabunge, wengi nina hasira nao..
 
mwenye ramani ya lamadi ampe huyu akafufue misukule akishahitimu!

Actually nita specialize kwenye necromancy..Kufufua misukule ni kitu kidogo sana katika uchawi!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…