Nimeangalia FUTUHI mwanzo mwisho sijacheka!!

Nimeangalia FUTUHI mwanzo mwisho sijacheka!!

Wapangaji wangu wananilipa kwa wakati sina shida nao kbs.. tatizo.haya majitu hayachekeshi
Inawezekana ndiyo inawezekana siyo.
Sometimes ni mindset tu mfano mimi movies za kibongo, ghana na nigeria siwezi ziangalia japo unaweza kukuta mtu anasifia kuwa waghana wanajua mimi naona wote hawajui.
Pia siwezi tazama movie yoyote iliyotafsiriwa kwa kiswahili unless sauti ziwe dubbed kama movie ya Yesu au ile michezo ya kihindi ya Azam.
So ni mindset sometimes inakuwa siyo mbaya ila tu mtu ushajiwekea hivyo
 
Kuna kipindi nilikuwa naangalia hiyo futuhi afu nacheka sana...watu hawakujua kwamba nilikuwa nacheka sababu comedy haichekeshi. Nachekaga wanavyoangaisha kuchekesha afu wanashindwa wanaishia kupigana tu...haha!

Kama idris sultani huwa nacheka sababu he is not funny at all.
 
Kuna kipindi nilikuwa naangalia hiyo futuhi afu nacheka sana...watu hawakujua kwamba nilikuwa nacheka sababu comedy haichekeshi. Nachekaga wanavyoangaisha kuchekesha afu wanashindwa wanaishia kupigana tu...haha!

Kama idris sultani huwa nacheka sababu he is not funny at all.

Yaani bora wangekua wanaandikiwa script maana vipaji hawana kbs
 
Inawezekana ndiyo inawezekana siyo.
Sometimes ni mindset tu mfano mimi movies za kibongo, ghana na nigeria siwezi ziangalia japo unaweza kukuta mtu anasifia kuwa waghana wanajua mimi naona wote hawajui.
Pia siwezi tazama movie yoyote iliyotafsiriwa kwa kiswahili unless sauti ziwe dubbed kama movie ya Yesu au ile michezo ya kihindi ya Azam.
So ni mindset sometimes inakuwa siyo mbaya ila tu mtu ushajiwekea hivyo

Lkn kama wanakuchekesha fresh tu ila kwangu kwa muda niloupoteza leo wanisahau
 
Back
Top Bottom