Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,470
Hapo SawaWanakua wachache linapokuja suala la ndoa/kuoa ila kwa mahusiano ya kawaida wapo kibao
Kwa hiyo Mpo wengi kuliko wanawake
Hapo SawaWanakua wachache linapokuja suala la ndoa/kuoa ila kwa mahusiano ya kawaida wapo kibao
Hapo ndo nawahurumiaga wanaume...Maisha magumu Sakayo alikuwa akizikusanya ngawira kwa kila njemba hivyo kuweza kuishi maisha ya juu kuliko uwezo wake. Sele naye akigundua kuna wenzie wawili wanapakua utamu wake naye anaweza kusepa, lakini bi dada hatakawia kutafuta replacement ili aendelee kuishi kwa raha zake kupitia shape lake la kufa mtu lol!
Daaa,, mkuu The End jipange, usije ruhusu mkeo kwenda chuo coz na ww watakufanyia hivo hivo km ulivofany kwa mwenzio…!!!!nakumbuka pale udom kuna demu alikuwa mke wa mtu na yeye alijua kuwa namfahamu ila alivyokuwa analiwa aisee niliona huruma sana kwa mchizi wake..!!!
chuoni changamoto bhana.. ilifika hatua hadi mimi nikalamba.. sasa nifanyaje!
Me mwenyewe hapa ndio ninaposhangaaga...Wanaume katika ubora wao!!!
Sele ni Sele tu bhana, we fanya mambo yako acha kuwaza alichobeba kwa nyuma. Huyo sio wako tena wala hana mpango na wewe, acha kujipendekeza kwake.
Halafu inakuwaje mtu mmoja ana wanaume watatu, wakati huo huo tunaambiwa wanaume ni wachache!!!
We hebu jaribu kuwaza kwa kina, maana huku kila mmoja analalamika mwanamke wake ana wanaume zaidi ya wawili kwa hiyo mpo mara tatu zaidi au???!Me mwenyewe hapa ndio ninaposhangaaga...
Dunia na maajabu yake
Hapo ndo nawahurumiaga wanaume...
Unajua kabisaa nachunwa lakini hutokiii na ukitoka unaenda kwa mwingine ambae ni kama yule yule!!!
Ndio maisha yenyewe hayo Dada mfanyeje sasa komaeni kwenye zile danger zone ili tuwe kama tumepewa limbwata kumbe msingi kiunoWe hebu jaribu kuwaza kwa kina, maana huku kila mmoja analalamika mwanamke wake ana wanaume zaidi ya wawili kwa hiyo mpo mara tatu zaidi au???!

Akili zenu mwazijua wenyewe bhana!!!Umeona eh! Kama hii njemba ilishajua inachunwa lakini bado ikapeleka simu! Kisa makalio bomba lol! Makalio kwa baadhi ya njemba kumbe yanawatoa ufahamu kabisa. 🙂🙂
HahahaNdio maisha yenyewe hayo Dada mfanyeje sasa komaeni kwenye zile danger zone ili tuwe kama tumepewa limbwata kumbe msingi kiuno![]()
![]()
![]()
Akili zenu mwazijua wenyewe bhana!!!
Sijasema nina miliki mimiAwo unaomiliki ni waume za watu
Hahahaha!!Nimependa ulivyomalizia mkuu The End..:nakumbuka pale udom kuna demu alikuwa mke wa mtu na yeye alijua kuwa namfahamu ila alivyokuwa analiwa aisee niliona huruma sana kwa mchizi wake..!!!
chuoni changamoto bhana.. ilifika hatua hadi mimi nikalamba.. sasa nifanyaje!

Dah!!picha kama hizi zinanipaga wakati mgumu sana kila nizionapo.
ha!!! ha!!! ha!!! ha!!! ha!!!!Daaa,, mkuu The End jipange, usije ruhusu mkeo kwenda chuo coz na ww watakufanyia hivo hivo km ulivofany kwa mwenzio…!!!!