Nimeamua tuachane lakini shepu lake halinitoki akilini....

Nimeamua tuachane lakini shepu lake halinitoki akilini....

a159152d07aa445f7db05fcc683b56dd.jpg
 
Unadate na mwanafunzi wa Chuo mkuu? Halaf unamlipia ninii? Mhhh kwel wajinga wanaexist!!!
 
Wanaume katika ubora wao!!!

Sele ni Sele tu bhana, we fanya mambo yako acha kuwaza alichobeba kwa nyuma. Huyo sio wako tena wala hana mpango na wewe, acha kujipendekeza kwake.
Halafu inakuwaje mtu mmoja ana wanaume watatu, wakati huo huo tunaambiwa wanaume ni wachache!!!
na wanawake tupo wengi shikamoo lkn
 
Usiachane nae [emoji22][emoji22][emoji22] utaipata wapi tena hiyo shepu jamani, aliumbwa peke yake na shepu!! Akikuudhi angalia shepu itakufariji
 
nakumbuka pale udom kuna demu alikuwa mke wa mtu na yeye alijua kuwa namfahamu ila alivyokuwa analiwa aisee niliona huruma sana kwa mchizi wake..!!!
chuoni changamoto bhana.. ilifika hatua hadi mimi nikalamba.. sasa nifanyaje!
Yaani na wewe ukaamua upigilie msumari wa moto kwenye kidonda cha rafiki yako lo!
 
Wanaume katika ubora wao!!!

Sele ni Sele tu bhana, we fanya mambo yako acha kuwaza alichobeba kwa nyuma. Huyo sio wako tena wala hana mpango na wewe, acha kujipendekeza kwake.
Halafu inakuwaje mtu mmoja ana wanaume watatu, wakati huo huo tunaambiwa wanaume ni wachache!!!
Wanakua wachache linapokuja suala la ndoa/kuoa ila kwa mahusiano ya kawaida wapo kibao
 
Back
Top Bottom