Nimeamua tuachane lakini shepu lake halinitoki akilini....

Nimeamua tuachane lakini shepu lake halinitoki akilini....

Unafanya maigizo tu yaani mwanamke unamuacha halafu unasema shep lake noma? Hupaswi kuitwa mwanaume inaonyesha ulikuwa unazama sana chumvini!
 
Yanii unataka kuoa Mwanamke kisaa ana takoo tuu..??? Shape tuu?? Afuu kichwani zero... huyo anafaa kuwa demu tu sio mkee..
 
Sipogo hivyo

Ayaaa,mi x wangu nilimuliza madem weng ni hawako royal,..akanibu so wote,mi sipogo ivo,in next few month nikampigia cm usiku akapokea jamaa akanambia yupo anamgegeda,..so ur honest don't amuse me,I am just being sarcastic
 
Ayaaa,mi x wangu nilimuliza madem weng ni hawako royal,..akanibu so wote,mi sipogo ivo,in next few month nikampigia cm usiku akapokea jamaa akanambia yupo anamgegeda,..so ur honest don't amuse me,I am just being sarcastic
Alikuwa hajakuwa
 
Ndugu yangu mpaka hapo umeshafanya uamuzi mzuri sana ninachokuomba usahau kabisa uwepo wake jishughilishe na kazi na mambo mengine kama kushiriki kwenye social activities hakika baada ya muda mfupi sana utamsahau.Huyo mke hakufai si kwa kukupa company au kuoa.
 
Mbona watuangusha mwanaume?
Amua moja ama kuendelea naye ama kuachana naye, la sivyo kubali kuendelea na ukae ukijua mko wengi na ukubaliane na hali hiyo tu.
 
unakwama hivo chalii...huyo mwanamke ni hatari kwa maisha yako kuliko unavofikilia
 
Back
Top Bottom