Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,329
- 17,855
kwa hiyo tunaelekea wapi baby?
Hii tuanzie samaki samaki...kisha haooo.mzalendo....tuangalie inakuwaje
kwa hiyo tunaelekea wapi baby?
Yepi hayo...?
Aise mkuu Katavi mimi nina binamu wengi tuu kuanzia Lady doctor, Madame B, Zion Daughter, Preta, Chocs, Blaki Womani, Zinduna, Arabela, gfsonwin, sweetlady, ladyfurahia, Heaven on earth, snowhite, Mamndenyi. amu, farkhina, KOKUTONA, AshaDii, King'asti, wote hao ni ndugu zangu na nawapenda sana
kitavi nakushauri ununue "binduki", achana na hizo "bunduki"!
Mumeo sina shida naye kabisa, labda naye awe ni miongoni mwa wale....
hebu ngoja niwaite mabinamu zangu na dada zangu walizungumzie jambo hili kw akina eti Passion Lady na Paloma na snowhite na gfsonwin na Preta na KOKUTONA na sweet lady na ladyfurahia na Zion Daughter na Madame B na Zinduna na Chocs na Lady doctor na Mamndenyi na Arabela na farkhina wote kweli mnakubaliana na Katavi kumiliki silaha aise
Katavi yaani mbinu zoote umeshindwa mpaka unaenda kushika cha moto
hata kama hawataki, lazima nimiliki tu silaha. Wewe nielekeze tu zinakouzwa.
hv binamu wewe una hata
panga kweli kwa ajili ya kumlinda
Dena Amsi wako?unatumia maujuzi gani?
Shughuli yangu kwake ni silaha tosha sina haja ya panga au bunduki maana akitoka kwangu amesharidhika na kila kitu na namtimizia kila hitaji lake na shughuli yangu inamtosheleza kila angle
Kama Ruttashobolwa hafikii kiwango mwambie wazi anunue bunduki maana hatachelewa kukupoteza mrembo kama wewe Passion Lady