Nitumie mkuu hiyo ndo njia nzuri zaidi
Nani domo zege wewe, ngoja nimchukue demu wako ndio utajua udomo zege wangu.
ungekuwa bachela humu?Nani domo zege wewe, ngoja nimchukue demu wako ndio utajua udomo zege wangu.
hebu ngoja niwaite mabinamu zangu na dada zangu walizungumzie jambo hili kw akina eti Passion Lady na Paloma na snowhite na gfsonwin na Preta na KOKUTONA na sweet lady na ladyfurahia na Zion Daughter na Madame B na Zinduna na Chocs na Lady doctor na Mamndenyi na Arabela na farkhina wote kweli mnakubaliana na Katavi kumiliki silaha aise
kwa hiyo unashauri nini?
kwa hiyo unashauri nini?