hebu ngoja niwaite mabinamu zangu na dada zangu walizungumzie jambo hili kw akina eti Passion Lady na Paloma na snowhite na gfsonwin na Preta na KOKUTONA na sweet lady na ladyfurahia na Zion Daughter na Madame B na Zinduna na Chocs na Lady doctor na Mamndenyi na Arabela na farkhina wote kweli mnakubaliana na Katavi kumiliki silaha aise
Mwambie kabisa mahabuba wako asiingie katika anga zangu kuanzia kesho, maana nitakuwa namiliki silaha,,,,,,,hivi ni nani vile..??
hebu ngoja niwaite mabinamu zangu na dada zangu walizungumzie jambo hili kw akina eti Passion Lady na Paloma na snowhite na gfsonwin na Preta na KOKUTONA na sweet lady na ladyfurahia na Zion Daughter na Madame B na Zinduna na Chocs na Lady doctor na Mamndenyi na Arabela na farkhina wote kweli mnakubaliana na Katavi kumiliki silaha aise
humjui mume wangu......anaitwa figganigga
hebu ngoja niwaite mabinamu zangu na dada zangu walizungumzie jambo hili kw akina eti Passion Lady na Paloma na snowhite na gfsonwin na Preta na KOKUTONA na sweet lady na ladyfurahia na Zion Daughter na Madame B na Zinduna na Chocs na Lady doctor na Mamndenyi na Arabela na farkhina wote kweli mnakubaliana na Katavi kumiliki silaha aise
kwa asilimia 100 sikubaliani naye kabsisa Katavi kwani ana roho ya paka huyo (jokes)
Lady doctor na Madame B hamumtaki Katavi mambo mazuri nyie atajikatavi muda sio mrefu akipata tuu hiyo silaha muhurumieni na maisha yake aise
Mkuu tangu hili wazo nililete hapa unapingana nalo,,,,naanza kuhisi na wewe ni miongoni mwa wale mapedeshee ninaowasaka,,,,,,,,,,shauriyo.Umeona eeehhh na ana hasira za karibu hachelewi akishainunua badala ya kuwakatavi wengine akajikatavi mwenyewe
Lady doctor na Madame B hamumtaki Katavi mambo mazuri nyie atajikatavi muda sio mrefu akipata tuu hiyo silaha muhurumieni na maisha yake aise
Nitakutafuta aisee unielekeze wapi zinapatikana.
Mkuu tangu hili wazo nililete hapa unapingana nalo,,,,naanza kuhisi na wewe ni miongoni mwa wale mapedeshee ninaowasaka,,,,,,,,,,shauriyo.
kwanza itabidi wajitaje live,maana hao mapedeshe huwa wapo busy kama manesi ili kutuharibiaKweli kabisa aisee...