Nimeamua sasa......

Nimeamua sasa......

umeshindwa kuwaendelea kwenye mlima Lanji pale Sumbawanga au lile ziwa lenye samaki wa rangi mbalimbali pale ukawajia na kitu mpaka utumie silaha aise

Kaka zile ishu zimegonga mwamba aisee, ni silaha tu.
 
Last edited by a moderator:
hata kama hawataki, lazima nimiliki tu silaha. Wewe nielekeze tu zinakouzwa.

Mkuu Katavi tatizo nahisi kama nakupoteza vile maana huchelewi kujikatavi na kabunduki kako aise
 
Last edited by a moderator:
Ha ha ha haaah!! Hiyo ishu ya kujikatavi haiwezekani kaka.

Wanasemaga hivyo ila wakishatendwa kujielekeza kamtutu kichwani au mdomoni sio issue mkuu Katavi haswa unapotendwa na umpendae unaamua mpoteze wote
 
Last edited by a moderator:
Acha wakubwa tufaidi, Vizuri vinatunzwa sasa uwezo huo unao?
 
Mamndenyi nakubaliana na wewe kabisa aandike wosia wa kuacha mali zake kwa wahusika
 
Last edited by a moderator:
Nakubaliana naye 100%.
Lakini aandike wosia kabisa;
ili siku akiamua maamuzi magumu
wanaobaki wasipate shida.
Hao wanaochukua vimwana wa watu ndio muwaambie waandae kabisa wosia...
 
Back
Top Bottom