Nimeamua niache kazi nikajiajiri

Umewaza kujiengua zama za kubana matumizi.... Pesa mtaani hakuna biashara zinatukatisha tamaa...... Anyway biashara haikosi changamoto..... Ujuzi wako na kujituma kwako ndio njia ya mafanikio yako..... Biashara hutegemea uhitaji/demand ya eneo husika..... Wahitaji ndio watakushawishi uwauzie nini .....Kila la kheri ktk maamuzi yako kuyaendea mafanikio yako.
Wew acha kumpa mwenzio uoga na uvivu wa kufikiri,, watu waliuza kipindi cha Great economic depression ya dunia,, sembuse leo apa TZ ambako tunaambiwa kuna njaa ??? sehem yeyote ukiona watu wanakula ujue biashara yeyote ile inaenda...!! Au nikikwambia mi nauza BIBLE huko MACCA utaamini?? na zinatoka biashara imenyooka.......................................
 
i) Hali ya uchumi mitaa ya Africa si nzuri imagine majirani zetu Kongo wameshindwa ku raise $ kwa uchaguzi...

ii) Pamoja na hayoooo yaeza kuwa matakwaaa.. yao hao DRC
Fanya utafiti kuhusu soko lako..
wanaeza nunua nini?
kwa kiasi gani cha pesa....
wana pesa kiasi gani????uwezo wao mfukoni???

iii) Maisha ni kuishi kwa kupenda ufanyalooo..

penda kazi yako....develop passion it is not about monie boss..


Sincerely,

The Beast!
MMMH,,,, we nae unaamini siasa za wachanga izo,,, ,,ebu uschekeshe walonuna na wew,,, we Congo sio ya kukosa 1b $........usisambaze fear kwa watu kwa izo siasa zao za kitoto
 
MMMH,,,, we nae unaamini siasa za wachanga izo,,, ,,ebu uschekeshe walonuna na wew,,, we Congo sio ya kukosa 1b $........usisambaze fear kwa watu kwa izo siasa zao za kitoto
Lol sijasema mimi wame sema wao na wame declare ukweli nilitazama news tarehe 16 January waziri wa fedha DRC ali declare...

si mie!
 
Hahaha ujue mnachukulia easy sana Ujasiriamali, em niambie na hio laki tano unalimaje na kusambaza karanga,unafunguaje kampuni?? Unadhani ni ishu ya leo na kesho Hio??huu mchezo kaufanya bakhresa for 30 plus years... Bakhresa tunao wangapi, tuwe realistic...
Nakubali yawezekana ila sio easy kama unavoiweka hapa eti leo kesho subutuuu,watu tuko makazini sio kuwa Ujasiriamali hatuujui ohoo..u need a plan,Ujasiriamali mwingine u need work experience kwanza nk, hizi za kubahatisha hizi utaachieve vipi vision kwa kubahatisha tu??
I know some people wenye kampuni zao it's a life time process sio leo na kesho msifarijiane
Sawa endelea kufanya kazi kwa mhindi bila kujiuliza alizipataje mpaka amekuajili wewe
 
Karibu sana mkuu uku mtaani mambo safi ila usife moyo uku ni kusonga mbele.
Kujiajiri kuna raha yake kwa mfano weka biashara itakayokupa angalau afu 20 au 30 kwa siku Mara mwezi 20000×30=laki6
Hii hata mwalimu shule ya msingi hapokei.
Karibu sana!!
Kama IPI ?? Full profit after kutoa matumizi
 
Hongera sana kijana. Hakikisha unakijua unachotaka kufanya kwa undani then kuwa tayari kwa changamoto ambazo ni nyingi sana. Kipindi cha mwanzo utapata kazi kweli kweli lazima upige moyo konde. Inaweza chukua more than five years Kujenga biashara yako lakini it's better that way kuliko ufanyie mtu kazi for 30 years uje ule pension ya 80M. All in all sio lazima wote tuajiriwe at the same time sio lazima wote tujiajiri.
Angalizo : Usiwe mvivu kama unataka kufanikiwa hakuna miujiza huko.
 
Hongera sana kijana. Hakikisha unakijua unachotaka kufanya kwa undani then kuwa tayari kwa changamoto ambazo ni nyingi sana. Kipindi cha mwanzo utapata kazi kweli kweli lazima upige moyo konde. Inaweza chukua more than five years Kujenga biashara yako lakini it's better that way kuliko ufanyie mtu kazi for 30 years uje ule pension ya 80M. All in all sio lazima wote tuajiriwe at the same time sio lazima wote tujiajiri.
Angalizo : Usiwe mvivu kama unataka kufanikiwa hakuna miujiza huko.
Haujasema baada ya kujiajiri.akifikisha miaka 30 ya biashara.atakuwa na sh ngapi?
 
Haujasema baada ya kujiajiri.akifikisha miaka 30 ya biashara.atakuwa na sh ngapi?
It takes years, efforts and smart plans kuwa millionaire. Sijui lolote kuhusu uwezo na mipango ya mtoa mada, labda shida yake kubwa ni kuepuka kero anazopata kazini hata kama atapata kipato kile kile au anataka kwenda extra miles in term of financial capacity.

Kuna watu wamejiajiri na wapo wengi tu lakini wana kipato cha kawaida kuliko hata waloajiriwa na hawana hata wazo la kupandisha pato lao yani wako satisfied kabisa. My point is lazima ujue malengo yako.
 
Wew acha kumpa mwenzio uoga na uvivu wa kufikiri,, watu waliuza kipindi cha Great economic depression ya dunia,, sembuse leo apa TZ ambako tunaambiwa kuna njaa ??? sehem yeyote ukiona watu wanakula ujue biashara yeyote ile inaenda...!! Au nikikwambia mi nauza BIBLE huko MACCA utaamini?? na zinatoka biashara imenyooka.......................................
Ni ktk kumpa mojawapo ya changamoto iliyopo sasa ili aingie akiwa na tahadhari juu ya siko la bongo...... Umenifurahisha ktk kuuza Bible Macca... Nadhani unata niamin biashara haina formula
 
Habari zenu wanajamvi,

Mwenzenu nimeamua niache kazi niliyoajiriwa nikajiajiri mwenyewe kutokana na sababu kubwa moja ya kutopenda kutumwa yani nikitumwa nachukia pia wafanyakazi wenzangu wananikera muda mwingi halafu mshahara ni mdogo sana.

Naomba mnijuze changamoto za kujiajiri, pia nina mtaji wa laki tano sasa ni biashara gani naweza kuanza nayo.
Asanteni
Hongera.
 
Habari zenu wanajamvi,

Mwenzenu nimeamua niache kazi niliyoajiriwa nikajiajiri mwenyewe kutokana na sababu kubwa moja ya kutopenda kutumwa yani nikitumwa nachukia pia wafanyakazi wenzangu wananikera muda mwingi halafu mshahara ni mdogo sana.

Naomba mnijuze changamoto za kujiajiri, pia nina mtaji wa laki tano sasa ni biashara gani naweza kuanza nayo.
Asanteni
Uamuzi uliochelewa....ila sio mbaya hata anayekumbuka shuka asubuhi hujifunika na kulala kama waliolala mapema kuliko yeye.
lakh 5 ni pesa nyingi sema unahitaji kuwa mvumilivu na utafika na kufurahia maamuzi yako sahihi
 
Hongera ni maamuzi mazuri mkuu ila kabla ya kufikia hayo maamuzi ni bora ungeanzisha biashara au kitu chochote cha kukupa sapoti pia upate experience ya business kabla ya kuacha Kazi, hii ingekusaidia kutokujuta wala kutamani kurudi kazini pale mambo yanapokua magumu mwanzoni.

Ungewavutia muda kimya kimya wakati huo unajipanga na unaweka malengo kwamba siku fulan au mwaka flani ntakua nimekamilisha malengo husika then naachana na utumwa.
Otherwise nakupongeza na kukutakia kila lakheri
Ushauri wa kuoga huu. ...hakuna kitu inanikera kama msomi anaposema unatake calculated risks...upuuzi daraja la kwanza. ...risks are just risks no more no less.
umwamua kuacha kazi acha ingia mtaani mengine muachie mungu....finito.
 
Back
Top Bottom