Mr PARE
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 781
- 519
Wanakata asilimia ngapi kwenye profit?Karb sanha huku kero kubwa ni TRA..wanatak kodi kila kituuu..ushaliwaza hilo
Wanakata asilimia ngapi kwenye profit?Karb sanha huku kero kubwa ni TRA..wanatak kodi kila kituuu..ushaliwaza hilo
Acha kudharau binadamu wenzio!kauli zako tu zinaakisi ujinga ulionao,nani kakudanganya kuwa watu wenye credencials ndio wanaofanikiwa?matajiri wakubwa wa nchi yako hakuna hata mmoja mwenye PHD.Acha kujitafutia shida. Huki sio kipindi kizuri cha kujiajiri. Utakuja kupata magonjwa ya moyo bure. Sasa kama elimu yako mbuzi kwa nini usitumwe tumwe? Kama hupendi kutumwa kaongeze elimu...
We kunguni! Unapata wapi ujasiri wa kunitusi? Watoto kama nyie ambao hamjui kuwa kuna wakubwa wenu ndio mnaoshia kuwa mzigo kwa taifa. Ni kwa sababu ya watu kama wewe ndio maana taifa hili haliendelei.Acha kudharau binadamu wenzio!kauli zako tu zinaakisi ujinga ulionao,nani kakudanganya kuwa watu wenye credencials ndio wanaofanikiwa?matajiri wakubwa wa nchi yako hakuna hata mmoja mwenye PHD.
nitapambana mkuuKarb sanha huku kero kubwa ni TRA..wanatak kodi kila kituuu..ushaliwaza hilo
Kwakauli zako tu wewe mwenyewe mzigo.We kunguni! Unapata wapi ujasiri wa kunitusi? Watoto kama nyie ambao hamjui kuwa kuna wakubwa wenu ndio mnaoshia kuwa mzigo kwa taifa. Ni kwa sababu ya watu kama wewe ndio maana taifa hili haliendelei.
Una akili fupi kama mkia wa mbuzi!Kwakauli zako tu wewe mwenyewe mzigo.
Nahilo ndio tatizo lako!kujiona unaakili ndefu kama mkia wa farasi.Una akili fupi kama mkia wa mbuzi!
Basi hii vita umeshinda mkuu!Nahilo ndio tatizo lako!kujiona unaakili ndefu kama mkia wa farasi.
Utakuwa ukiutegemea huo mradi wako ( Biashara Yako ) baada ya kuianzisha kuendesha maisha au una namna nyingine ya kuishi ? ( Nijibu nikupe ushauri )nitapambana mkuu
Hahahaaaaa..... Na mwalalikaAcha sifa,,,,sifa zilimuua mwangimba
Barikiwa.Umasikini mkubwa kuliko wote ni umaskini wa akili na fikra........
Mwanadamu anaanza kufa akili ndio unafuata mwili.....
Kichwa ni maktaba na hekalu la fikra mbali mbali........
Mtu mwenye kuitumia akili yake vyema....anakuwa na mawazo mazuri na yenye tija......
Mtu wa hivyo.....hata ukimpa shilingi elfu kumi....baada ya muda anaweza kuifanya kuwa laki moja........
Lakini mtu asiye na fikra na mawazo yakinifu hata ukimpa bilioni moja....bado kwake haitatosha.......
Think big
Take control of your destiny
Namimi nashukuru pia umetumia busara kumaliza vita bila kumwaga damuBasi hii vita umeshinda mkuu!
Kujiajiri its not as simple as your thinking, lazima uwe umeanzisha kiji-project ambacho utahakikisha kina-run parallel na kazi yako ya kuajiriwa uliyonayo, sasa ukiona ka-project kanaleta walau 80% ya basic needs zako na unahisi kanahitaji sasa usimamizi wako ili kaweze kufikia 100% hapo sasa unaweza ku-shift.Habari zenu wanajamvi,
Mwenzenu nimeamua niache kazi niliyoajiriwa nikajiajiri mwenyewe kutokana na sababu kubwa moja ya kutopenda kutumwa yani nikitumwa nachukia pia wafanyakazi wenzangu wananikera muda mwingi halafu mshahara ni mdogo sana.
Naomba mnijuze changamoto za kujiajiri, pia nina mtaji wa laki tano sasa ni biashara gani naweza kuanza nayo.
Asanteni
Huyo mzee anatia hasira sana,,,,mwache aendeKwakauli zako tu wewe mwenyewe mzigo.
Nina namna nyingine mkuuUtakuwa ukiutegemea huo mradi wako ( Biashara Yako ) baada ya kuianzisha kuendesha maisha au una namna nyingine ya kuishi ? ( Nijibu nikupe ushauri )
Hapo sawa,Nina namna nyingine mkuu