Nimeamua kuvunja ukimya

Nimeamua kuvunja ukimya

Najua Mkuu,lakini kumpokea alie juu,nafikiri mademu ndio hutupokea sisi kwa juu,sasa mimi mwanaume uniambie nimpokee alie juu daah hiyo ni balaa.Vipi wewe uliwahi kumpokea alie juu?
Mimi ni mpendwa nimekatazwa kuwaza dhambi!
 
Habari zenu wana jamvi,

Leo nimeamua kuvunja ukimya, nasema ukweli jamani ndugu zangu YESU ni mtamu, acheni nilewe huyu YESU mie. Yeye ni jana leo na hata mileleeee mwanzo na mwisho.

Hakuna kama yeye chini ya jua na kwingine kokote. Ni huyu Yesu aliyenipa elimu baada ya kufeli kwa mara ya kwanza form 4 na kukata tamaa kabisa, ni huyu Yesu, alinionesha njia hadi leo nina CV ya ukweli.

Ni yeye huyu aliyenipa kazi kwa muda mfupi tu baada ya kuhitimu masomo bila ujanja wowote ila kwa MAOMBI tu, ni yeye huyu aliyesimama na mimi pale kazini kupingana nao wale wote walionionyesha chuki na kunitengenezea mazingira ya mimi kufukuzwa kutokana na wivu wa elimu,.

Ni huyu YESU aliyempigania baba yangu kwa miaka 17 sasa akipita katik ajaribu lile.Ni huyu aliyenipa uzima hadi sasa naishi. Any way natamani na wewe umjue huyu MWANAUME ambaye;-

1. Sio msaliti
2. Mwaminifu 100%
3. Rafiki wa kweli nyakati zote
4. Mtimiza ahadi
5. Aliyeyashika maisha yako mkononi mwake
6. nk;

Jamani ndugu zangu tumwamini Yesu, dunia imeshatuchoka na hivyo inataka kututema tu, sasa sijui itakutema wapi, ni wakati wetu vijana tuamke na KUMPOKEA YESU AWE BWANA NA MWOKOZI WETU. AMEEN.

GOD BE WITH YOU
baada y kufeli form 4 alikupa nini??
Ameen
 
Amen, Yesu ni hakika na kweli.

Ila ikiwa ni kweli kwa haya uyashuhudiayo Mungu azidi kukupatia ujasiri Tamalisa wa kusonga mbele katika imani yako. Yesu analipa.

Warning (Ilani), Hii isije tu ikawa ni gia ya kutafutia wachumba, maana siku hizi dunia imevaa chupi.
 
Mimi ni mkristo pia sikuulizi kwa nia mbaya.
Wewe unasema Yesu amefanya baada ya kuhitimu umepata kazi, Sasa kwahiyo watu ambao wanamwamini kama wewe(wengi ninaowafaham) wamehitimu na hametafuta kazi kama wewe hawajapata, kwahiyo je, wao ndo vipi? au huyo Yesu mbaguzi kakusaidia wewe upate kazi halafu wao hawana kazi kawaacha?

Na kingine umepata kazi kama unavyosema ikitokea umefutwa kazi utasema Yesu amekusababisha ufutwe au kitu gani(kwasabu si unasema yesu ndo kakufanya upate kazi?)??

Naomba unifafanulie hapo nikuelewe vizuri kabisa.!
mkaribishe kwanza wew...si wote wapendwa wana yesu wa kweli....mtamfute yesu kwa bidii sana nawe utamuona kwenye maisha yako
 
Vipi Mkuu wewe ni KE au me?,ukiwa KE nitakupa jibu muruwa na mujarabu.
Nikienda kukoga badaye nitajikagua mkuu nikupe jibu...unajua tena hivi viungo vya uzazi sikuwahi kuvikagua kwa kuwa sikuwa na matumizi navyo period!
 
Mimi ni mkristo pia sikuulizi kwa nia mbaya.
Wewe unasema Yesu amefanya baada ya kuhitimu umepata kazi, Sasa kwahiyo watu ambao wanamwamini kama wewe(wengi ninaowafaham) wamehitimu na hametafuta kazi kama wewe hawajapata, kwahiyo je, wao ndo vipi? au huyo Yesu mbaguzi kakusaidia wewe upate kazi halafu wao hawana kazi kawaacha?

Na kingine umepata kazi kama unavyosema ikitokea umefutwa kazi utasema Yesu amekusababisha ufutwe au kitu gani(kwasabu si unasema yesu ndo kakufanya upate kazi?)??

Naomba unifafanulie hapo nikuelewe vizuri kabisa.!



Muulize afafanue vizuri siku yakimkuta tofauti na aliyoandika hapa atabadilisha maneno au?, Mimi kwa Mungu najitoa mzimamzima na wala sina reference maana amenitendea mengi mema ambayo toka afikirie kuniumba mpaka nazaliwa na hadi sasa sina cha kumuambia asante kwa hiki sababu yooooooote ni kwa neema yake, hivi kuokoka ni kwa sababu tu maana kila mtu aliyeokoka atakuambia nimeona hiki au kile wanaita ushuhuda sijui, mbona tunapenda kum undermine sana huyu BWANA WA MAJESHI, kama hajafanya kitu basi kimyaaa, sijui sababu sina utaalamu sana wa Biblia na tafsiri zake, ni mawazo yangu najiwazia peke yangu.
 
Habari zenu wana jamvi,

Leo nimeamua kuvunja ukimya, nasema ukweli jamani ndugu zangu YESU ni mtamu, acheni nilewe huyu YESU mie. Yeye ni jana leo na hata mileleeee mwanzo na mwisho.

Hakuna kama yeye chini ya jua na kwingine kokote. Ni huyu Yesu aliyenipa elimu baada ya kufeli kwa mara ya kwanza form 4 na kukata tamaa kabisa, ni huyu Yesu, alinionesha njia hadi leo nina CV ya ukweli.

Ni yeye huyu aliyenipa kazi kwa muda mfupi tu baada ya kuhitimu masomo bila ujanja wowote ila kwa MAOMBI tu, ni yeye huyu aliyesimama na mimi pale kazini kupingana nao wale wote walionionyesha chuki na kunitengenezea mazingira ya mimi kufukuzwa kutokana na wivu wa elimu,.

Ni huyu YESU aliyempigania baba yangu kwa miaka 17 sasa akipita katik ajaribu lile.Ni huyu aliyenipa uzima hadi sasa naishi. Any way natamani na wewe umjue huyu MWANAUME ambaye;-

1. Sio msaliti
2. Mwaminifu 100%
3. Rafiki wa kweli nyakati zote
4. Mtimiza ahadi
5. Aliyeyashika maisha yako mkononi mwake
6. nk;

Jamani ndugu zangu tumwamini Yesu, dunia imeshatuchoka na hivyo inataka kututema tu, sasa sijui itakutema wapi, ni wakati wetu vijana tuamke na KUMPOKEA YESU AWE BWANA NA MWOKOZI WETU. AMEEN.

GOD BE WITH YOU
Thanks you said the truth.be blessed
 
Habari zenu wana jamvi,

Leo nimeamua kuvunja ukimya, nasema ukweli jamani ndugu zangu YESU ni mtamu, acheni nilewe huyu YESU mie. Yeye ni jana leo na hata mileleeee mwanzo na mwisho.

Hakuna kama yeye chini ya jua na kwingine kokote. Ni huyu Yesu aliyenipa elimu baada ya kufeli kwa mara ya kwanza form 4 na kukata tamaa kabisa, ni huyu Yesu, alinionesha njia hadi leo nina CV ya ukweli.

Ni yeye huyu aliyenipa kazi kwa muda mfupi tu baada ya kuhitimu masomo bila ujanja wowote ila kwa MAOMBI tu, ni yeye huyu aliyesimama na mimi pale kazini kupingana nao wale wote walionionyesha chuki na kunitengenezea mazingira ya mimi kufukuzwa kutokana na wivu wa elimu,.

Ni huyu YESU aliyempigania baba yangu kwa miaka 17 sasa akipita katik ajaribu lile.Ni huyu aliyenipa uzima hadi sasa naishi. Any way natamani na wewe umjue huyu MWANAUME ambaye;-

1. Sio msaliti
2. Mwaminifu 100%
3. Rafiki wa kweli nyakati zote
4. Mtimiza ahadi
5. Aliyeyashika maisha yako mkononi mwake
6. nk;

Jamani ndugu zangu tumwamini Yesu, dunia imeshatuchoka na hivyo inataka kututema tu, sasa sijui itakutema wapi, ni wakati wetu vijana tuamke na KUMPOKEA YESU AWE BWANA NA MWOKOZI WETU. AMEEN.

GOD BE WITH YOU
Amina
 
Uwongo dhambi kuna umri ambao kama miundombinu yako kimaisha na commitment bado iko complicated ukimpokea huyu mkuu utakuwa unadanganya...wako wapendwa kibao tunabanana nao kwenye vibanda umiza ila wakienda 'baibo' wanatubu!
Vibanda umiza ndio vipi hivo? Kubet au wahaya? Au nimekosea hata kuotea?
 
Uwe unazngatia context.....

Hii sehem sio ya mahubiri

Ni sehem ya mada zinazohusu mapenz na mahusiano
 
Back
Top Bottom