Nimeamua kuvunja ukimya

Nimeamua kuvunja ukimya

Mkaribishe kwanza maishani mwako, hafu ndo ulete hoja hapa

Mimi kipaji cha kuigiza ninacho naweza kuigiza na nikafiti vizuri kwenye ulokole kuzidi hata walokole wa ukweli ila moyo wangu kwa sasa wacha ufanye mambo mengine nitampa Yesu baadye sana!

Mtumishi unatakiwa utambue wazi masuala ya kiroho ni divine matters na ni kiimani zaidi, na kama imani ni matarajio ya mambo yajayo, huoni kwamba mtu unaweza kusahau kuishi maisha halisi ukiespect yajayo ambayo scientifically hayana proof existence yake?
 
Ameeeeeeeeeeen........ you are blessed and you have done right kuutukuza Utukufu wa Mwenyezi Mungu...... continue with the same spirit. Mwenyezi Mungu aendelee kukutendea miujiza zaidi
 
Mimi kipaji cha kuigiza ninacho naweza kuigiza na nikafiti vizuri kwenye ulokole kuzidi hata walokole wa ukweli ila moyo wangu kwa sasa wacha ufanye mambo mengine nitampa Yesu baadye sana!

Mtumishi unatakiwa utambue wazi masuala ya kiroho ni divine matters na ni kiimani zaidi, na kama imani ni matarajio ya mambo yajayo, huoni kwamba mtu unaweza kusahau kuishi maisha halisi ukiespect yajayo ambayo scientifically hayana proof existence yake?

Usijari wewe nitakutaja katika maombi tu hakuna njia nyingine - nitatumia hilo jina Horseshoe Arch.
 
God is good all the time and all time God is good that is natural waooooh…. 👏👏👏👏👏👏👏👏👏
 
Usijari wewe nitakutaja katika maombi tu hakuna njia nyingine - nitatumia hilo jina Horseshoe Arch.

Nimepata Girlfriend mpya juzi hapa, sina hata miezi mitatu naye, kuna mtu mmoja aliniacha njia panda mwaka jana mwanzoni so huyu nisingependa anipite tena, kwa hiyo basi pamoja na mambo mengine ukisali nikumbuke katika yafuatayo....

Mwambie Mungu kupitia Mwanae Yesu Kristo kuwa Horseshoe Arch amehangaika sana kumpata mwenza wa maisha na Tazama baba kampata Makei wake,Mwambie baba tafadhali usimwambie Horseshoe Arch kwamba chaguo lake si sahihi na badala yake washape kwa pamoja ili waweze kuendana,hili likikamilika hakika utukufu wa Bwana utaonekana na Tazama kwa paomoja tutakuwa mstari wa mbele kumtukuza!
 
Mimi ni mkristo pia sikuulizi kwa nia mbaya.
Wewe unasema Yesu amefanya baada ya kuhitimu umepata kazi, Sasa kwahiyo watu ambao wanamwamini kama wewe(wengi ninaowafaham) wamehitimu na hametafuta kazi kama wewe hawajapata, kwahiyo je, wao ndo vipi? au huyo Yesu mbaguzi kakusaidia wewe upate kazi halafu wao hawana kazi kawaacha?

Na kingine umepata kazi kama unavyosema ikitokea umefutwa kazi utasema Yesu amekusababisha ufutwe au kitu gani(kwasabu si unasema yesu ndo kakufanya upate kazi?)??

Naomba unifafanulie hapo nikuelewe vizuri kabisa.!

Mkuu umewaza km Mimi, utakuta mtu kafanikiwa jambo fulani ambolo wengi hulitamani, basi anaongea as if wale ambao hawajapata km vile wamepotea, hawaombi, ni wadhambi nk...Binafsi naona km umefanikiwa basi waombee na wenzio wafanikiwe, si kujisifu tu kuwa wewe pekee ndo ulistahili kusikilizwa ktk sala zako
 
Kwa unyenyekevu mkubwa (huku nimepiga magoti) naomba kusema neno. Hakuna ulevi mbaya kama wa kiimani, sii leo wala jana bali tangu enzi na enzi. Na wengi wenye kutoka mbele ya haraiki /hadhira na kujisifu juu yao na kujikweza kumfuata yeye alie juu watu hawa huitumia halihiyo kama kichaka cha maovu. Yesu wa nazareth alipokuja duniani watu wa kwanza kukosana nao walikuwa ni "mafarisayo & masadukayo". Hawa aliwafananisha na makaburi yenye kung'aa nje huku ndani yakificha "uozo".
 
Mimi ni mkristo pia sikuulizi kwa nia mbaya.
Wewe unasema Yesu amefanya baada ya kuhitimu umepata kazi, Sasa kwahiyo watu ambao wanamwamini kama wewe(wengi ninaowafaham) wamehitimu na hametafuta kazi kama wewe hawajapata, kwahiyo je, wao ndo vipi? au huyo Yesu mbaguzi kakusaidia wewe upate kazi halafu wao hawana kazi kawaacha?

Na kingine umepata kazi kama unavyosema ikitokea umefutwa kazi utasema Yesu amekusababisha ufutwe au kitu gani(kwasabu si unasema yesu ndo kakufanya upate kazi?)??

Naomba unifafanulie hapo nikuelewe vizuri kabisa.!

Maswali mazuri sana, nimependa - ila natamani ningekuwa nakuelezea ana kwa ana ingefaa sana maana kuna vitu vingine ni vyema kuvielezea live. Ok nitajaribu kuweka kwa ufupi ili usichoke sana. -

Kwanza kwa haya maswali napata kuhisi kwamba wewe ni mchanga sana ktk masuala ya imani au labda ni muislamu tu, ila si ishu sana.

1. Tambua kwamba niliokoka tangu form 1 na nimekua mtumishi wa Bwana tangu hapo kupitia CASFETA, hivyo nilipomaliza form 4 mara ya kwanza nilifeli na wengine wengi walifaulu. Je hapo Yesu alinisahau? - jibu ni hapana ila alitaka ajitukuze kupitia mimi, nililia nikamwambia Yesu nimekutumikia kipindi chote cha masomo, y this? nilikata tamaa sana, nikarudia mitihani huku YESU nikimuomba kwa hali ya juu aniwezeshe> - MAOMBI

2. Yesu sio mbaguzi na wala si kwamba hao unaowafahamu Yesu amewaacha NO, - Isaya 43:26 inasema "Unikumbushe na tuhojiane eleza mambo yako upate kupewa haki yako" - MAOMBI, wapendwa wengi hawaombi, hawafungi, wakiambiwa njoo kuna mkesha tumuombe Mungu mtu haji, lakini ktk harusi hadi sa 9 usiku anaenda.- MAOMBI MAOMBI MAOMBI hili ndio tatizo, na hapa ndipo shetani ametushika sana, TUNAPASWA KUAMUA KUKAA KTK MAOMBI, - SIJISIFU, NILIAMUA KWA DHATI KUOMBA MUNGU, na ndio maana ameonekana,

Naamka usiku saa 9 hadi kumi naomba, usingizi ninao lakini nasema hapana YESU amesema nijaribuni muone - nikadhamilia kumjaribu, Nafunga peke yangu, nyumbani wanaleta kuku na vitu vingine vizuri, nafsi inashawishika kufungulia lakini nasema hapana hadi nimalize maombi jioni.

Kuomba ni mzigo mzito, wengi wanomba wakiwa wamekaa chini matokeo yake ni kusinzia tu, Niliamua kuomba kwa kusimama hadi leo nina uwezo wa kusimama hadi masaa 4 naomba tu huku natembea, na maneno hayajirudii, - MAOMBI MAOMBI, na KUJITAHIDI KUIKIMBIA DHAMBI + MAOMBI TUTASHINDA.

3. Hata ikitokea nimefukuzwa kazi sasa hivi, YESU bado ni wangu tu, hiyo ni sehemu ya majaribu ya kupimwa imani yangu, sitaaacha kamwe.

Nb: Ningekuwa na wewe ana kwa ana ingependeza sana
 
Back
Top Bottom