Nimeamua kurudi CCM

Ishu kubwa kulikuwa na makosa ya maridhiano ya kimahesabu, na ndio lilikiwa jibu la PAC. Hakuna upigaji au risk ya pesa kuibiwa.
 
Ishu kubwa kulikuwa na makosa ya maridhiano ya kimahesabu, na ndio lilikiwa jibu la PAC. Hakuna upigaji au risk ya pesa kuibiwa.
Mkuu inaonekana hufahamu masuala ya auditing na control. Mfano pesa za kampuni yako zinatakiwa zikae benki ili ziwe monitored sasa iwaje mhasibu wako akaweke kwenye kabati la ofisini?

Unadhani akija mkaguzi akaona mapato yote yaliyopo kwenye vitabu ni tofauti na pesa iliyopo benki. Huoni ni mwanya wa wizi?

Embu naomba ujibu kwa perspective ya internal control mechanisms na auditing.
 
Nimerudi Ccm boss.

Naona viazi mmekutana mnaanika unafiki wenu kisha mnashangaana. Mko matawi tofauti nini? Mwambie tu kuwa hujawahi kuhama ccm, ila propaganda yenu kuwa NCCR kikatakuwa chama kikuu cha upinzani imebuma.
 
Naona viazi mmekutana mnaanika unafiki wenu kisha mnashangaana. Mko matawi tofauti nini? Mwambie tu kuwa hujawahi kuhama ccm, ila propaganda yenu kuwa NCCR kikatakuwa chama kikuu cha upinzani imebuma.
Unao uhakika na unachokisema?
 
Nilibugi,nimerudi Chama kinachowajali wanyonge.

Hukubugi, sema tu ww ni mnafiki unayedandia propaganda mfu. Uko ccm siku zote na nimekuwa nikikuambia hujawahi kuwa NCCR. Ni kwamba unalazimisha kuwa kwenye propaganda, halafu huna uwezo wa kuigiza unachotaka kuigiza.
 
Unao uhakika na unachokisema?

Si nilikuwa nakutoa nishati kila siku hapa kuwa ulijifanya uko NCCR, lakini hajawahi kuweka bandiko lolote kuwahusu NCCR zaidi ya ccm? Yaani ww ni mnafiki mwenye uwezo mdogo.
 

Mkuu unamuuliza hilo swali zito hiv unategemea ana uwezo wa maswali hayo?
 
Rudi tu, huna madhara!we ni sawa na nyuki wa mashineni!!
 
CCM bila uchakachuaji bila wizi wa kura bila Polisiccm bila Tumeccm bila mahakamaccm bila wakurugenziccm bila Msajiliccm ni weupe sana hakuna Mtanzania mwenye Akili timamu ataipigia CCM kura
 
Mkuu unapoteza muda wako bure kumjibu huyo
 
Nimekuambia CCM huwa inajitathimini ikifanya makosa. Na hilo ndio jibu sahihi kwako. Ndio maana wanaokoa Bil 719 hii leo.
Wameokoa takwimu feki? Hizo pesa uliziona wapi? Takwimu za kutengeneza na hata wakipata pesa zote zinaenda kupelekwa chato kusiko na manufaa ya Taifa na pesa zingine wanakula akina cyprian Musiba polepole kwa kisingizio cha kuihujumu kuidhoofisha chadema, kwa kifupi utawala huu wenu unatumia pesa za walipa kodi kudidimiza demokrasia
 
Tarehe 28 Tanzania inaenda kupata uhuru wake tokea kwa Mkoloni mweusi kaburu tokea chato, Nchi itazaliwa upya Haki itarejeshwa mahakama zitarejea kuwa huru, haki itasambaa kila kona yake Nchi
 
Watanzania waliopo nje kuanzia Afrika Asia America ulaya sasa hawatumi pesa zao Tanzania kutokana na BOT kutaifisha pesa nyingi za watu kwa visingizio vya utakatishaji fedha, pesa nyingi inatumwa kenya Uganda Zambia ambapo hawana ujinga wa kuwapora watu pesa zao na ndipo watanzania wengi huenda kuchukua pesa na kurejea Tanzania kwa njia za barabara, Nchi jirani wanatengeneza faida kubwa kwa pesa kupitia kwao wakati BOT wanafanya uonevu wenzao wanatengeneza faida
 
ni bia umeahidiwa au elfu saba na kofia na tisheti
 
Chadema haipoke mtu kuwania ubunge kutoka ccm...waache wabaki huko huko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…