Nimeamua kuoa baa medi

Wanaume wengi wa sasa wanaangalia kazi na usomi wa mwanamke, ametoka katika familia gani n.k unakuta mtu ukikutana nae baada ya salamu tu anaanza unafanya kazi wapi kha! ndio mkome mke mwema anatoka kwa Mungu haijalishi anafanya kazi, msomi au hafanyi kazi unaweza ukamuoa na kumfungulia hata biashara ya genge kwa kuanzia na baadae mambo yakawa mazuri tu

Unapo uliza anafanya kazi unajiridhisha je ni matawi ya juu au lah!
 
Kila mwanamke ninayekuwa naye tukifika mahali nagundua kuwa hatanifaa kwa kuoa kutokana na tabia zao...wengi hawatulii. Nimejaribu kila aina kuanzia wasomi wa elimu ya juu, warembo, wenye fedha....n.k; lakini wote wana matatizo mengine tofauti, mengine yanafanana. Kiufupi hawafai kuwa MKE.

Sasa jamaa yangu yeye alichukua baamedi kipindi kile tunaenda kwenye kilaji, akakolea akavuta kitu ndani. Yaani wana maisha ya raha ile mbaya. Hadi sasa wana watoto wawili na maisha yao yanaendelea raha mustarehe...hawajawahi kugombana wala kuzozana hata siku moja. Ni heshima na upendo kwa kwenda mbele.

Mshikaji amenishauri nami nivute baamedi nifanye kama yeye. Tayari kuna kitu kimoja kwenye baa moja maarufu sana hapa mjini nakivizia. Kikiingia laini tu nakiweka ndani.

SI UTANI NIMEAMUA KUOA BAAMEDI. Labda stress zitapungua!
Hivi mabaamedi nao wanaviziwagwa?
 
Mi niliwahi waambia wawili mama wa nyumbani, kwani niliwaona tena lol

Hahahaha walikimbia mizinga mama wa nyumbani nao kwa mizinga duhh balaa ungesema house girl ungeona bugudha zake
 
tabia za watu zinategemea na historical background zao, Female Bar Maid ni wanawake ambaowanaexperience kubwa sana ya maisha, kuanzia kwenye income mpaka kwenye ugumu wa kaziambayo inainvolve 100% interaction with clients.Kwa hiyo ni kweli kabisa kwamba ma bar maid wanacharacter fulani zinazofanana na ambazo zinaweza kuwa na competetive kwenye ndoa kulinganisha na wanawake wenye experiencetofauti ya kazi.hivyo inabidi uweke wazi hapa ni features zipi kwako ambazo ni priority katika kuchagua mwanamke. mfano1. Uzuri. sio Job related feature.2. Ulevi. Ma bar maids ni walevi3. Low income. Ma Bar maid in low income earners4. Historia ya kuchapwa nao sana. wanaongoza5. uvumivu. wako safi6. nk
 
Kuoa barmed si issue sana, muhimu ni uelewana ndani ya nyumba. Hata kama umeoa daktari kama hakuna uelewano ndani ya nyumba ni kitu bure. Na si lazima kuangalia mke umemkuta anafanya kazi gani, kazi wakati mwingine ni hatua ya kujikimu kimaisha, ndivyo hali za maisha zilivyo. Ukishamuoa mwezeshe na sahau ubaamed wake. Anaweza kuwa na mchango wa kufaa sana maishani mwenu.
 
Kuoa barmed si issue sana, muhimu ni uelewana ndani ya nyumba. Hata kama umeoa daktari kama hakuna uelewano ndani ya nyumba ni kitu bure. Na si lazima kuangalia mke umemkuta anafanya kazi gani, kazi wakati mwingine ni hatua ya kujikimu kimaisha, ndivyo hali za maisha zilivyo. Ukishamuoa mwezeshe na sahau ubaamed wake. Anaweza kuwa na mchango wa kufaa sana maishani mwenu.


Nitamuwowa, nitampenda na atanipenda.
 
utajiju na umbumbumbu wenu oeni viazi tu muwaendeshe otherwise mtu na elimu yake huwezikumpeleka peleka hovyo
 
utajiju na umbumbumbu wenu oeni viazi tu muwaendeshe otherwise mtu na elimu yake huwezikumpeleka peleka hovyo

ID yako tu inaonesha wewe ni mwanamke wa namna gani. Watakuchakaza na hawatakuwowa. Utazeeka kama mama spika.
 
Kila mwanamke ninayekuwa naye tukifika mahali nagundua kuwa hatanifaa kwa kuoa kutokana na tabia zao...wengi hawatulii. Nimejaribu kila aina kuanzia wasomi wa elimu ya juu, warembo, wenye fedha....n.k; lakini wote wana matatizo mengine tofauti, mengine yanafanana. Kiufupi hawafai kuwa MKE.

Sasa jamaa yangu yeye alichukua baamedi kipindi kile tunaenda kwenye kilaji, akakolea akavuta kitu ndani. Yaani wana maisha ya raha ile mbaya. Hadi sasa wana watoto wawili na maisha yao yanaendelea raha mustarehe...hawajawahi kugombana wala kuzozana hata siku moja. Ni heshima na upendo kwa kwenda mbele.

Mshikaji amenishauri nami nivute baamedi nifanye kama yeye. Tayari kuna kitu kimoja kwenye baa moja maarufu sana hapa mjini nakivizia. Kikiingia laini tu nakiweka ndani.

SI UTANI NIMEAMUA KUOA BAAMEDI. Labda stress zitapungua!

Tatizo mnachagua chagua mnoooooo!! Baamedi ni mwanamke kama walivo wanawake wengi, hakosi madhaifu kwa ivo anaweza akawa mke mwema au asiwe. Tatizo mnataka muoe watu perfect 100% as if mnaweza kuumba!!!
 
Tatizo mnachagua chagua mnoooooo!! Baamedi ni mwanamke kama walivo wanawake wengi, hakosi madhaifu kwa ivo anaweza akawa mke mwema au asiwe. Tatizo mnataka muoe watu perfect 100% as if mnaweza kuumba!!!

Mnaboa sana nyie viumbe.
 
dah.......! Wewe uko perfect sana eeeh? Hauna madhaifu? Na hao wanaume wasomi wakoje?

Aisee sisi ni waelewa sana...na huwa tunajitahidi kuwavumilieni sana lakini hamvumiliki. Mnajidai mashauzi sana. Viruka njia.
 
Mi nilifikiri umeoa mwanamke uliyempenda, kumbe barmaid??.........yani hata wewe unaoa kazi za watu au watu wenye kazi.
shukuru mungu ana kazi!!!

Hakikisha bia zipo za kutosha ndani.........akuhudumie vizuri...
 
utajiju na umbumbumbu wenu oeni viazi tu muwaendeshe otherwise mtu na elimu yake huwezikumpeleka peleka hovyo
Mwanamke wa hovyo kweli wewe!!
Unadharau wanawake wenzako kwa vile hawajasoma???...........na ukiwa umesoma inakuaje sasa, unaota m.boo au??
kwamba mumeo akikuchezea unaweza ukam.fir.a au?

pambaf kabisa.
 
Mi nilifikiri umeoa mwanamke uliyempenda, kumbe barmaid??.........yani hata wewe unaoa kazi za watu au watu wenye kazi.
shukuru mungu ana kazi!!!

Hakikisha bia zipo za kutosha ndani.........akuhudumie vizuri...

Mkuu samahani. Hivi wewe ni ME au KE?
 
Back
Top Bottom