Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,444
Wakati wewe mwenyewe unatumia mchina ya 20,000/-
Si ndo hapo mkuu hata internet mchina hakamati yeye anataka mnokia wa ajabu touch screen.
Wakati wewe mwenyewe unatumia mchina ya 20,000/-
Wanaume wengi wa sasa wanaangalia kazi na usomi wa mwanamke, ametoka katika familia gani n.k unakuta mtu ukikutana nae baada ya salamu tu anaanza unafanya kazi wapi kha! ndio mkome mke mwema anatoka kwa Mungu haijalishi anafanya kazi, msomi au hafanyi kazi unaweza ukamuoa na kumfungulia hata biashara ya genge kwa kuanzia na baadae mambo yakawa mazuri tu
Hivi mabaamedi nao wanaviziwagwa?Kila mwanamke ninayekuwa naye tukifika mahali nagundua kuwa hatanifaa kwa kuoa kutokana na tabia zao...wengi hawatulii. Nimejaribu kila aina kuanzia wasomi wa elimu ya juu, warembo, wenye fedha....n.k; lakini wote wana matatizo mengine tofauti, mengine yanafanana. Kiufupi hawafai kuwa MKE.
Sasa jamaa yangu yeye alichukua baamedi kipindi kile tunaenda kwenye kilaji, akakolea akavuta kitu ndani. Yaani wana maisha ya raha ile mbaya. Hadi sasa wana watoto wawili na maisha yao yanaendelea raha mustarehe...hawajawahi kugombana wala kuzozana hata siku moja. Ni heshima na upendo kwa kwenda mbele.
Mshikaji amenishauri nami nivute baamedi nifanye kama yeye. Tayari kuna kitu kimoja kwenye baa moja maarufu sana hapa mjini nakivizia. Kikiingia laini tu nakiweka ndani.
SI UTANI NIMEAMUA KUOA BAAMEDI. Labda stress zitapungua!
Unapo uliza anafanya kazi unajiridhisha je ni matawi ya juu au lah!
Samahani kama nimekugusa mamie. Sikumlenga mtu specifically.
Mi niliwahi waambia wawili mama wa nyumbani, kwani niliwaona tena lol
Wala usijali...huo ni ushauri tu nimekupa ili kesho na kesho kutwa mwanao nae asibaguliwe kisa kasoma!!
Kuoa barmed si issue sana, muhimu ni uelewana ndani ya nyumba. Hata kama umeoa daktari kama hakuna uelewano ndani ya nyumba ni kitu bure. Na si lazima kuangalia mke umemkuta anafanya kazi gani, kazi wakati mwingine ni hatua ya kujikimu kimaisha, ndivyo hali za maisha zilivyo. Ukishamuoa mwezeshe na sahau ubaamed wake. Anaweza kuwa na mchango wa kufaa sana maishani mwenu.
utajiju na umbumbumbu wenu oeni viazi tu muwaendeshe otherwise mtu na elimu yake huwezikumpeleka peleka hovyo
Kila mwanamke ninayekuwa naye tukifika mahali nagundua kuwa hatanifaa kwa kuoa kutokana na tabia zao...wengi hawatulii. Nimejaribu kila aina kuanzia wasomi wa elimu ya juu, warembo, wenye fedha....n.k; lakini wote wana matatizo mengine tofauti, mengine yanafanana. Kiufupi hawafai kuwa MKE.
Sasa jamaa yangu yeye alichukua baamedi kipindi kile tunaenda kwenye kilaji, akakolea akavuta kitu ndani. Yaani wana maisha ya raha ile mbaya. Hadi sasa wana watoto wawili na maisha yao yanaendelea raha mustarehe...hawajawahi kugombana wala kuzozana hata siku moja. Ni heshima na upendo kwa kwenda mbele.
Mshikaji amenishauri nami nivute baamedi nifanye kama yeye. Tayari kuna kitu kimoja kwenye baa moja maarufu sana hapa mjini nakivizia. Kikiingia laini tu nakiweka ndani.
SI UTANI NIMEAMUA KUOA BAAMEDI. Labda stress zitapungua!
Nashukuru kwa kunipa moyo mkuu.
Naona "warembo wasomi" wa humu wameshaanza kunishambulia. Wanajijua udhaifu wao.
Tatizo mnachagua chagua mnoooooo!! Baamedi ni mwanamke kama walivo wanawake wengi, hakosi madhaifu kwa ivo anaweza akawa mke mwema au asiwe. Tatizo mnataka muoe watu perfect 100% as if mnaweza kuumba!!!
dah.......! Wewe uko perfect sana eeeh? Hauna madhaifu? Na hao wanaume wasomi wakoje?
Mwanamke wa hovyo kweli wewe!!utajiju na umbumbumbu wenu oeni viazi tu muwaendeshe otherwise mtu na elimu yake huwezikumpeleka peleka hovyo
Hahahahaaaa!!!!Hivi mabaamedi nao wanaviziwagwa?
Mi nilifikiri umeoa mwanamke uliyempenda, kumbe barmaid??.........yani hata wewe unaoa kazi za watu au watu wenye kazi.
shukuru mungu ana kazi!!!
Hakikisha bia zipo za kutosha ndani.........akuhudumie vizuri...