huu uchokozi,fanya utakavyo km moyo umeridhia na haijalishi anafanya kazi ganiutakuwa umeachika wiki hii
well said!Ishu sio mtu anafanya shughuli gani (baamedi...mwalimu..n.k) ila ni tabia binafsi na vile alivyo ndivyo vinavyomfanya awe mke mzuri au mbaya.
Unaweza na wewe ukafuata mkumbo na kuchagua shughuli ya mtu badala ya mtu uturudie hapa ukilia!!
Omba Mungu ufanikiwe mwanamke atakaekufaa kama mke na rafiki bila kujali shughuli anayofanya!!
Tena baa medi utaishi naye vizuri sana kuliko hawa wanajiita wasomi[/Mkuu inaelekea hata unapokua home huwa unaagiziaga tu kwa mamaa... "lete bariiidi...!]
ni mwanamke kama wanawake wengine mengine ni tabia ya mtu binafsi kila la heri
Mkuu isijekuwa ni wewe uliyevuta BAAMEDI, unataka kutushawishi na sisi tufuate mkumbo!
Acha bana Tunamshukuru Mola, wakwetu wametulia.
Ina maana baamedi sio mwanamke?Ungekua umepata mmoja kati ya hao unaowaponda ungekuj kutuambia hapa?
Eti ehhhh??
Ukijaliwa mtoto wa kike usimpeleke shule ili asije akamstressisha mwanaume mwenzio!
Mke ni mke bila kujali kazi yake. Ila utakuwa tayari kuvumilia wateja wake wa zamani wakisalimia? Sikilza kwanza moyo wako unakutuma vipi