Mzee Madoshi
Senior Member
- Feb 16, 2011
- 134
- 41
Nilifikiri tuko wachache tuliooa maeneo hayo, kumbe tuko wengi tu. Karibu Kiritimba, nyama ni ile ile ila mapishi ndio yanaweza kupishana kidogo.
Na hapo na yeye ana kazi..pengine mshahara mkubwa kuliko wewe. Pesa yake huioni hata siku moja. Hadi wazazi wake unawahudumia wewe.
Wanawake wengi siku hizi hasa wale wanaojiweza kielimu na kipato ni stress tupu.
we buji we! Mbavu zangu!bora kuoa baa medi kuliko kuparamia wanyama.
Nilifikiri tuko wachache tuliooa maeneo hayo, kumbe tuko wengi tu. Karibu Kiritimba, nyama ni ile ile ila mapishi ndio yanaweza kupishana kidogo.
Si unaona sasa!
Kwa mwanamke ambaye alikua mhudumu wa baa...ukimuoa halafu kila mwezi unampa laki 2 kama matumizi ya nyumbani, nakwambia itatosha na chenji inabaki. Mwaka wa kwanza mnanunua kiwanja, mwaka wa pili kupanga baaasi.
ni mwanamke kama wanawake wengine mengine ni tabia ya mtu binafsi kila la heri
Uzuri wa hawa huwa wanakuwa na mapenzi ya dhati akisema anakupenda ni kweli anakupenda kwa dhati.
Wazo lako zuri sana, si baa medi tu ukitaka kuishi maisha mazuri ya ndoa mpe zari unayemuoa iwe ni surprise ya maisha ambayo hakutegemea kuishi kabisa, na tabia yake kama ni nzuri kidogo umelamba bingo sio kupalamia mwanamke mnaoana tu mnaanza kuchanga matumizi ndani ataona wapi tofauti yako wewe na yeye. hapo dharau mwanzo wisho.
Nyie mnao jua kutumia computer ndo wasumbufu sitaki hata kuwasikia, mnajua mpaka blackberry hukawii sweetie ninunulie blackberry ya slide mweh
Barmaid ni mwanamke kama wanawake wengine, na hiyo ni kazi kama kazi nyingine. Leo unaweza kumkuta anafanya kazi ya bar kesho ukamkuta yuko saloon, au anauza duka. Sio vizuri kuwachukulia wafanya kazi wa bar kama watu wa hali ya chini katika maisha. Aidha, wengine wanafanya kazi hiyo wakati wakitafuta kazi nyingine kama ambavyo watu wengine wanabadilisha kazi. Kama ungekuwa unafikiria kuoa changudoa, ningekushuri uache kwa sababu yule tayari ameishingia kwenye kazi ambayo haina maadili.
Mkuu kama umpenda, wewe vuta kitu weka ndani ufurahie maisha. Nina mifano ambao wameoa kama hivyo uanvyofikiria wanakaa raha mstarehe. Ila uwe makini, sio siku manahitilafiana unaanza........ooo kwanza wewe unanitsha nini,.....umesaha nilikokutoa.........
big up lizzyIshu sio mtu anafanya shughuli gani (baamedi...mwalimu..n.k) ila ni tabia binafsi na vile alivyo ndivyo vinavyomfanya awe mke mzuri au mbaya.