Mi uzoefu wangu wa kutongoza hawa mademu wanao jiita wasomi nawaogopa kama UKIMWI
We jipange tu sio kila bar mad ni malaya wengi wanatafuta maisha kama ilivyo kwa mwingine yupo sokoni au ofisini.
Wengi wana tamaa sana. wanapenda mambo makuu. wanajifanya babkubwa wakati ni hohe hahe. Na wengi wao huwa hawaolewi. wanaishia kuchezewa tu.
Kweli mkuu mtu mbongo anataka akuletee mapenzi ya Isidingo wapi na wapi jamani??
Tena baa medi utaishi naye vizuri sana kuliko hawa wanajiita wasomi
mlie mingo chukua mtoto weka kwa kuta nne za nyumba tena baamedi haitaji kitchen party wala nyakanka kazi yake tu ni unyago na kungwi tosha..
Tena utawasikia tu: Swetie mbona hunifanyii suprise. mara swetie wikiendi hii nitoe out. Nani ataweza maisha hayo.
Tena utawasikia tu: Swetie mbona hunifanyii suprise. mara swetie wikiendi hii nitoe out. Nani ataweza maisha hayo.
Nilichoka jamaa angu kipato chake ni laki 4.5 demu anamwoma hela akafanye shopping m.city jamaa kajikamua kampa 80 demu akamwambia kwa jamaa sweetie 80 haitoshi hii nanunua blauzi tu nataka laki 7 ndo inatosha mmh.
Utasikia sasa si unihudumie, nani sasa atakaye nihudumia ka si wewe? hao wengine wanaoku......a je?
halafu atataka vitu vya bei ya juu kama simu wakati wewe mwenyewe unatumia nokia tochi
Wanawake wengi siku hizi hasa wale wanaojiweza kielimu na kipato ni stress tupu.