Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,652
aiseee, umenifurahisha bibie. Thanx
Asante mkuu! IMO jamaa anaonekana ni the problem na hayuko makini (though atabisha). Katawaliwa na idea kuwa mke mwema anapatika kundi flani, to verify this attitude soma hiyo part anayosema kwamba ameshajaribu wasomi wa elimu ya juu, warembo, matajiri n.k. Hivo barmaid kwake ni last choice baada ya kuwa amefail kote!!! Anajiaminisha kuwa kundi flani ndo litamfaa, pole yake!