Kwa muda mrefu nimekuwa msomaji wa mijadala mbalimbali hapa jf lkn sikuwahi kuwa miongoni mwa members wa humu.
Kwa kuwa nimekuwa mfuatiliaji wa muda mrefu hapa jf,niliweza kubaini kuwa kuna makundi tofauti tofauti humu ambayo utofauti wao unatokana na itikadi za kisiasa.Tofauti hizo zinapelekea kuwepo kwa majina ya Lumumba Buku 7 FC na Team Bavicha.
Niweke wazi msimamo wangu kuwa sitakuwa miongoni mwa wale ambao kwa makusudi kabisa wameamua kujitoa ufahamu na kutumika katika misingi ya tumikia kafiri upate mtaji wako!
Naomba kukaribishwa!
Kwa kuwa nimekuwa mfuatiliaji wa muda mrefu hapa jf,niliweza kubaini kuwa kuna makundi tofauti tofauti humu ambayo utofauti wao unatokana na itikadi za kisiasa.Tofauti hizo zinapelekea kuwepo kwa majina ya Lumumba Buku 7 FC na Team Bavicha.
Niweke wazi msimamo wangu kuwa sitakuwa miongoni mwa wale ambao kwa makusudi kabisa wameamua kujitoa ufahamu na kutumika katika misingi ya tumikia kafiri upate mtaji wako!
Naomba kukaribishwa!