mama la mama
JF-Expert Member
- Sep 27, 2013
- 304
- 151
Hahahhah yaan unatafuta sababu ya kucheat nishakuambia hyo huwez ipata kamwe we endelea ndio nishajua na sijatoka endelea kusubir ujue ili ndoa iwe basisasa ulikuwa unajisifia nini kwamba hucheat wakati unajua hakujaziba. endelea kuliwa ila nikijua ndo mwisho, wewe si umejua ila bado upo mimi haitakuwa hivyo.