miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,976
mshana jr mtaalamuInawezekana ka install TELBOX App,ni noma sana hiyo application kila unachofanya kwenye cm yako anaona.
mshana jr mtaalamuInawezekana ka install TELBOX App,ni noma sana hiyo application kila unachofanya kwenye cm yako anaona.
Hahahha yaani ona akili zako zilipoishia et ipo siku khaaaa sijui ilikuaje nikaangukiwa jumba bovuipo siku tu mkuu maana hata dada zake mwenyewe huwa wanamshangaa sana.
Lama hnavowanunuaga wewehata huku watakuzoa tu, naona umeamua kujiuza.
Wanajukwaa, wife kaniwekea mitego kila kona, kuanzia kwenye simu hadi kwenye makampuni ya simu, katika mitandao na kila sehemu. Ukitoka tu nyuma unafatiliwa, sina pa kupumulia. Kila unalofanya analijua.
Nimejiuliza sana, kwa namna hii nitakuwa mwanaume wa aina gani? mwanaume wa kunyooka tu kwenye mstari!!! HAIWEZEKANI .
Nilichoamua ni kujitoa mhanga, nimeamua kuweka mambo wazi sina sababu tena ya kuendelea kujificha maana haina maana kwani hata ukijificha ni kama mbuni kujificha kichwa wakati mwili wote upo nje. Liwalo na liwe.
Mmhh nafuta kauli yangu, naona kivumbi hiki si size ya comment nilotoa (nilitania tu)inawezekana kabisa.
Yaani mtu kudumisha ulinzi ndio amegeuka kuwa kichwa!? Acha uchochezi!We vipi yaani wife anakuwa kichwa kuliko wewe ?
Eeh kwani kumeziba??upo sahihi mkuu, mwanamke wa hivi lazima utakuwa unakula. endelea tu kula mkuu, mimi sina shida maana hata mimi nakula kwingine pia.
mi kwa maadili hapana huwa wanaficha,, labda mkeo umemuumiza sana........ chonde chonde ni faamilia yenu hayanihusu lakini naomba mtoto fikirieni namna .. msimuumize naombahivi kuna mwanamke anaweza kumtukana mmewe ******? yaani hapa ninachofikiria ni arrangement tu ambayo haitaleta athari kwa mtoto.
siwezi kabisamiss chagga, unaweza kumtukana mmeo m.s.e.nge?.
no no no najua mpo kwenye temper ila mmoja lazima ashuke jamani.. mmalizane hukoEeh kwani kumeziba??
Ivi hili neno limekukaa lin nmewah kukutamkia tusi tangu uanze kunivuruga? Kwani mimi sijui maana ya neno msenge had nifikie hatua ya kukuita ivo?miss chagga, unaweza kumtukana mmeo m.s.e.nge?.
Anajikosha tu niko makin sana n kinywa changu wakat wa majibizano siwez muita mtu alienifanya nikaitwa mama msenge hata anifanye ninisiwezi kabisa