Nimeamua kujilipua. Nimeanza upya

Nimeamua kujilipua. Nimeanza upya

Meta AI

JF-Expert Member
Joined
Jul 12, 2021
Posts
1,564
Reaction score
4,018
Wanajamii mko fresh eee...

Ebwana haya maisha ni noma sana, mambo yanachanganya na mengine yanachosha moyo.
Baada ya kujitafuta sana kwa miaka mitano kwenye harakati mbalimbali, hatimaye leo nmeamua kubadili mwelekeo wa mambo.

Nilianza na kupanga chumba kimoja, baada ya mwaka nikaona nina uwezo wa kumudu nafasi kubwa zaidi... nikahamia chumba na sebule. Harakati hazikupoa, nikaona nioe.

Huko nikaishia kupigwa za uso na nikamfukuza mke. Maisha yakawa bomba sana kwa kiasi chake. Nikafanikiwa kununua viwanja vitatu, boda 2 na kuongeza msuli wa kazi.

Mwezi wa pili nilikaa nikaitafakari kazi + mazingira ninayoishi nikajiona ni kama mda wote sikuwa kwenye mstari ninaoutaka.

Niliamua kuuza kila kitu, viwanja vyote, boda zote na mzigo wa kazi nilokuwa naifanya hadi kila kitu cha ndani.

Nilikamata milioni 16 huku nikiwa sina hata pa kulala, japo chumba nilibaki nacho. Nilisepa nikaenda mkoa ambao sikuwahi hata kuufikiria, nikasoma upepo nikaona kuna fursa.
Nilinunua mashine 2 za kukamua alizeti pamoja na mashine 1 ya kuparata mkonge then nikaingia sokoni.

Niliajiri vijana 9 nikaanza kukimbizana na fungu la kupata au kukosa.

Kwa sasa maisha yameanza na ukurasa mpya. Hadi sasa nimesev milioni 7 tu kwa miez 2.... japo ka moyo kanadunda kwa maamuzi nilochukua.

Ila fresh... nimejilipua.
 
Wanajamii mko fresh eee...

Ebwana haya maisha ni noma sana, mambo yanachanganya na mengine yanachosha moyo.
Baada ya kujitafuta sana kwa miaka mitano kwenye harakati mbalimbali, hatimaye leo nmeamua kubadili mwelekeo wa mambo.

Nilianza na kupanga chumba kimoja, baada ya mwaka nikaona nina uwezo wa kumudu nafasi kubwa zaidi... nikahamia chumba na sebule. Harakati hazikupoa, nikaona nioe.

Huko nikaishia kupigwa za uso na nikamfukuza mke. Maisha yakawa bomba sana kwa kiasi chake. Nikafanikiwa kununua viwanja vitatu, boda 2 na kuongeza msuli wa kazi.

Mwezi wa pili nilikaa nikaitafakari kazi + mazingira ninayoishi nikajiona ni kama mda wote sikuwa kwenye mstari ninaoutaka.

Niliamua kuuza kila kitu, viwanja vyote, boda zote na mzigo wa kazi nilokuwa naifanya hadi kila kitu cha ndani.

Nilikamata milioni 16 huku nikiwa sina hata pa kulala, japo chumba nilibaki nacho. Nilisepa nikaenda mkoa ambao sikuwahi hata kuufikiria, nikasoma upepo nikaona kuna fursa.
Nilinunua mashine 2 za kukamua alizeti pamoja na mashine 1 ya kuparata mkonge then nikaingia sokoni.

Niliajiri vijana 9 nikaanza kukimbizana na fungu la kupata au kukosa.

Kwa sasa maisha yameanza na ukurasa mpya. Hadi sasa nimesev milioni 7 tu kwa miez 2.... japo ka moyo kanadunda kwa maamuzi nilochukua.

Ila fresh... nimejilipua.
Wapi Huko kwenye fursa Mkuu!
 
. Nikafanikiwa kununua viwanja vitatu, boda 2 na kuongeza msuli wa kazi.

Niliamua kuuza kila kitu, viwanja vyote, boda zote na mzigo wa kazi nilokuwa naifanya hadi kila kitu cha ndani.

Nilikamata milioni 16 huku nikiwa sina hata pa kulala, japo chumba nilibaki nacho.
viwanja 3, boda 2, mzigo wa biashara, vitu vyote vya ndani.....16M?? hii chai
 
Jina lako hamumu haya bana kama ni kwel hongera
Halafu jaman sio lazma kuishi na mwanamke hiyo ni maamuzi ya mtu binafsi kama umetaka kuoa Hilo ni uamuzi usije humu kuanza kulia ooh wanawake wafilisi as if Kuna mtu alimshikia mtu mtutu Aishi na mwanamke
Wanaume wengine hawapend maswala ya machangudoa wanaamua kuishi na mwanamke ndo hayo maanuz Sasa ila usiseme mwanamke anafilisi hata vitabu vya dini vimesema utakula Kwa jasho na mwanamke atazaa Kwa uchungu
 
Utafika mbali sana,ongeza bidii na punguza matumizi.kuna mdada namjua naye ana hizo machine za kukamua alizeti anapiga pesa sana,kwenye account yake ana 90M just za faida inayotokana na hiyo biashara.
Wewe ni bank hadi ujue hicho kiasi Kwa account yake?



Sent from my Infinix X658E using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom