cariha
JF-Expert Member
- Apr 9, 2015
- 22,077
- 46,325
Wengi ni mashabiki maandazi hawajapitia madhila ya kwenda jela kisa chama, mdee na bulaya walivunjwa Hadi mikono then wanapata nafasi mashabiki wanawaambia wasiende eti bungeni, halafu chama kikikosa ruzuku hawatachangia au kikipotea miongoni mwa watanzania watakuja kulaumu. Siasa za awamu hii Bora kuwa smart kuzifanya kulingana na mtawalaKweli mkuu. Wakiambiwa wasiogope, wamwage damu, hawajitokezi. Chama kitaendeleaje na kutawala