Hii gas ya kupikia au?Yanasumbua sana kwenye suala zima la Gesi.
ule maharage mpaka yaharibu macho ina maana huweki hata mboga ya majani.
Punguza punyenye,kujichua kunaharibu macho ,acha kusingizia mboga ya taifaMaharage yanaharibu macho so nimeona bora niache kuyala au kupunguza kuyala kwa muda wa mwezi