Amos David Mathias
JF-Expert Member
- Sep 3, 2022
- 1,574
- 3,027
Waliosema mwalimu wao wanawake ni kipofu Hakukosea kabisa.
Ni ajabu mtu(mwanamke) kumkuta Instagram yupo LIVE yupo kama alivyozaliwa anajishika shika na watu ( Wanaume ) wapo busy wanamwangalia na kumsifia na kutuma comment kibao kuwa yeye ni mzuri.
Ni ajabu mtu(mwanamke) kumkuta Instagram yupo LIVE yupo kama alivyozaliwa anajishika shika na watu ( Wanaume ) wapo busy wanamwangalia na kumsifia na kutuma comment kibao kuwa yeye ni mzuri.