Mi sitafuti demu kama demu.natafuta mke ndugu
nimekuelewa kaka.ila niliumia sana waliponichukulia yule msichana.tulia mdau,ipo siku utampata uliyepangiwa,utafurahia maisha mdau.
jua kuwa wanaume wengi sana tunaoa wake za watu.!(do u want to know what I mean?)
Ni miez 6 imepita tokea nilipoachwa na mpenzi wangu.nimehangaika sana kutafuta mwingine mimeambulia maumivu tu.nimetumia na hata hela zaid laki 2 lkn hamna kitu.nami nashindwa kukaa hivi najisikia mpweke sana.ushauri wenu wadau naombeni.
Mi sitafuti demu kama demu.natafuta mke ndugu
Mi sitafuti demu kama demu.natafuta mke ndugu
baada ya kuambiwa kizuri kina garama.na hizo laki 2 ulizitumia kwa ajili gani?
tulia mdau,ipo siku utampata uliyepangiwa,utafurahia maisha mdau.
jua kuwa wanaume wengi sana tunaoa wake za watu.!(do u want to know what I mean?)
na hizo laki 2 ulizitumia kwa ajili gani?
una umri gani?Mi sitafuti demu kama demu.natafuta mke ndugu
Alitoa kitu kidogo
baada ya kuambiwa kizuri kina garama.
halafu wakamchinjia baharini