serio
JF-Expert Member
- Apr 15, 2011
- 7,354
- 4,771
dau lilikuwa dogo, ingekuwa kama 2million then uka date na kimwana m1 ungechukua mazima.
Maybe alikutana nao 20, kila mtu akamhonga msimbazi mmoja mmoja...
dau lilikuwa dogo, ingekuwa kama 2million then uka date na kimwana m1 ungechukua mazima.
Mujini sio magorofa aiseee... Its more than that.
Tatizo sio haraka ni mazoea nilikwa kwenye uhusiano miaka minne halafu ukatishwa gafla ningefanyaje ndugu yangu.haraka hizi za kuziba pengo ndio zmesababsha laki zako 2 zkaliwa (angalia usgeuke Munisi) bila kutimiza utakacho. Bado hujajipata wewe ni nani na unataka nin kwa ke wa namna gani. Tuliza akili, pumzsha moyo vidonda vipone ndio uchomoze shngo tena kuchungulia kinachoendelea kwenye dunia ya mapenz.
nimekuelewa kaka.ila niliumia sana waliponichukulia yule msichana.
Hawa sio waduu.ni sehemu ya maisha kila mwanadu ngugu yanguunashindwa kuishi bila hawa wadudu ? are you serious ? next time think before you write something
Tatizo sio haraka ni mazoea nilikwa kwenye uhusiano miaka minne halafu ukatishwa gafla ningefanyaje ndugu yangu.
Kama uko morogoro nenda pale Kahumba- wapo wa kumwagaNi miez 6 imepita tokea nilipoachwa na mpenzi wangu.nimehangaika sana kutafuta mwingine mimeambulia maumivu tu.nimetumia na hata hela zaid laki 2 lkn hamna kitu.nami nashindwa kukaa hivi najisikia mpweke sana.ushauri wenu wadau naombeni.
He, kumbe wewe na ufoo saro ni ndugu?hahaha yereuwii
Sikuweza kufanya hivyo ukiona mtu anakuzidi kete ana nguvu zaid yako,na mwenye nguvu muache apite.pe sana hop unge-waufosaro tu wahusika walokubebea usingiz wako
Mwaka mmoja alikuwa anasoma.baada ya utambulisho kwa wazaz wake wakaleta ugumu.huyo mwanamke akanishauri tukakae wote kweli nilikaa miaka 3 mpaka wazaz wake wakakubali kwani ulipita Mwezi basi,visa vikaanza ndani miezi 4 akachukuliwa na bodaboda.naamini kulikuwa na nguvu ya giza.why hamkufunga ndoa muda wote huo???ulikua bado wamchunguza
Daa sitaweza kwakua nitakuwa naidanganya nafsi yangu kwakuwa malengo yangu ndoa ndugu.Kama uko morogoro nenda pale Kahumba- wapo wa kumwaga
nimekuelewa kaka.ila niliumia sana waliponichukulia yule msichana.
Tatizo sio haraka ni mazoea nilikwa kwenye uhusiano miaka minne halafu ukatishwa gafla ningefanyaje ndugu yangu.
nashuruni wapendwa kwa ushauri.nilichojifunza nibora nitulie tu mpaka majaliwa yake mungu.ingawa moyo unamsukumo sana lakin kama ndio mambo yenyewe yako ivyo bora nibakie hivi hivi.