Nimeamini mapenzi yana nguvu sana

Nimeamini mapenzi yana nguvu sana

Kama nilivyo kwambia sijui ufahuru wake darasani, kama ana ufahuru mzuri darasani anaweza kusonga mbele zaidi kwenye masomo yake kwa hiyo nikarazimika kumsubili kwa muda mrefu sana na mimi uchumba wa muda mrefu huwa siupendi maana mwisho wake huwa ni maumivu tu.
Haya pole basi anza kumfatilia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
So unaombea aishie form 4 ili umuoe??


Katoto ka form 3 unadhani unaweza kupanga nacho hayo mambo ya kuona na mkaelewana vzuri?
Kama nilivyo kwambia sijui ufahuru wake darasani, kama ana ufahuru mzuri darasani anaweza kusonga mbele zaidi kwenye masomo yake kwa hiyo nikarazimika kumsubili kwa muda mrefu sana na mimi uchumba wa muda mrefu huwa siupendi maana mwisho wake huwa ni maumivu tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mzee tafuta mwanamke aliye tayari,hawa wa kusubiria baadae akija kubadilika ndo nyie mnajiua au mnaua watoto za watu!!hizo plan za kitoto sana yani ungeongea karibu yangu ningekupa kofi moja hilo akili ikae sawa
Bila shaka hujanielewa mm sijampenda kwa sababu nataka kufanya naye ngono kwa sababu najua nikifanya naye ngono matokeo yake ni mimba na matokeo ya mimba ni kwenda jera kwa sababu ni nwana funzi mimi ninacho maanisha ni tuweke tu malengo ya kuoana,mambo ya ngono ni baada ya ndoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo wema unaotaka kumtendea huyo dent hebu watendee wakubwa wenzio dada zako wa hapa JF
 
Dent wa kidato3 ndo anakufanya hivo?? Una matatizo wewe. Naona unataka kuozea segerea mkuu


Sent from my iPhone using JamiiForums
Hata mm nilikuwa nawacheka wenzangu walio kuwa wanalia kwa sababu ya mapenzi ila na mm yamenikuta na kuanzia leo nimekoma kuwacheka wenzangu.
 
Acha kujiendekeza, muache binti wa watu asome...

Huna mapenzi unataka nyuchi yake alafu uje na story za ajabu ajabu...



Cc: mahondaw
 
No.4 jera inakuita miaka 30 sio lelemama chunga sana na utumie akili zaidi kuliko tamaa
Jera siendi kwa sababu siwezi fanya naye mapenzi akiwa bado anasoma.
 
Huyo binti sidhani kama amekomaa kiasi cha kukuelewa au kuelewa unapotaka kumwingiza. Utaishia kumpa ujauzito tu na ukimuoa sasa hakuna atakachokileta kwako zaidi ya mwili wake, akili haijakomaa bado. Sio kila mapenzi ni mapenzi sahihi, wenzetu wanafunga ndoa mpaka na Mbwa wakidhani ni mapenzi.
Asante kwa ushauri mzuri.
 
Em kwanza sogea pembeni upande wako wa kulia toka njia panda usije ukagongwa nakuja apo tuongee
 
Kama nilivyo kwambia sijui ufahuru wake darasani, kama ana ufahuru mzuri darasani anaweza kusonga mbele zaidi kwenye masomo yake kwa hiyo nikarazimika kumsubili kwa muda mrefu sana na mimi uchumba wa muda mrefu huwa siupendi maana mwisho wake huwa ni maumivu tu.
Uchumba wako unakuwaga wa muda gani mdogo wangu
 
So unaombea aishie form 4 ili umuoe??


Katoto ka form 3 unadhani unaweza kupanga nacho hayo mambo ya kuona na mkaelewana vzuri?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuhusu kumaliza form4 sija maanisha hivyo ndugu.
Kuhusu suala la kunielewa hata mimi linanitatiza.
 
Hisia za utotoni zina raha sana eti
Sio utoto jamani we omba yasikukute hata mimi nilikuwa nawa kejeri na kuwacheka wenzangu walio kuwa wakija humu wakilia kwa sababu ya mapenzi ila sasa hivi ninekoma aisee.
 
Back
Top Bottom