iNine9
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 5,008
- 9,408
Nimejikuta nashangaa sana..Wewe bado una hali ngumu sana. Hizo hela unazozipata kwa tabu zitunze kwasababu hapo ni kama unajaza maji kwenye gunia. Unapata 50k unampa 48k na unabakiwa na 2k halafu unamsifia? Huyo demu ni mnyonya damu. USIMPE HELA pia acha kujiaminisha upumbavu kwamba yeye ndo anasababisha upate hela.