Nimeamini kweli kuna wanawake wana bahati

Nimeamini kweli kuna wanawake wana bahati

Wewe bado una hali ngumu sana. Hizo hela unazozipata kwa tabu zitunze kwasababu hapo ni kama unajaza maji kwenye gunia. Unapata 50k unampa 48k na unabakiwa na 2k halafu unamsifia? Huyo demu ni mnyonya damu. USIMPE HELA pia acha kujiaminisha upumbavu kwamba yeye ndo anasababisha upate hela.
 
Ukiona kila unalofanya linafanikiwa ujue siku yako ya PARAPANDA imekaribia. Hayo ndio MAOKOTO yako ya mwishomwisho ya bajeti yako uliyowekewa hapa chini ya jua.

okoka haraka sana
Sitakufa bali nitaishi nikiyasimulia matendo ya Bwana.
 
Wewe bado una hali ngumu sana. Hizo hela unazozipata kwa tabu zitunze kwasababu hapo ni kama unajaza maji kwenye gunia. Unapata 50k unampa 48k na unabakiwa na 2k halafu unamsifia? Huyo demu ni mnyonya damu. USIMPE HELA pia acha kujiaminisha upumbavu kwamba yeye ndo anasababisha upate hela.
Muacheni kwanza kijana jamani 😂😂😂
 
Wewe bado una hali ngumu sana. Hizo hela unazozipata kwa tabu zitunze kwasababu hapo ni kama unajaza maji kwenye gunia. Unapata 50k unampa 48k na unabakiwa na 2k halafu unamsifia? Huyo demu ni mnyonya damu. USIMPE HELA pia acha kujiaminisha upumbavu kwamba yeye ndo anasababisha upate hela.
Hyo 48 ni nauli ya kurudi 40k nauli elfu 8 hela ya kula njiani
 
Wewe bado una hali ngumu sana. Hizo hela unazozipata kwa tabu zitunze kwasababu hapo ni kama unajaza maji kwenye gunia. Unapata 50k unampa 48k na unabakiwa na 2k halafu unamsifia? Huyo demu ni mnyonya damu. USIMPE HELA pia acha kujiaminisha upumbavu kwamba yeye ndo anasababisha upate hela.
Mchotee kiasi kidogo kwenye mchinjo wa bajeti wewe kama MamaSamia2025
 
kuna wanawake wanakauli zakukufanya unakua weak siku nzima,neno 1 tu anavuruga kila kitu.

na kuna wanawake wanajua kumotivate bana,siku nzima unafanya kazi hata usipopata hela unajiona una hela.
nlikua sijui kabla 😊
 
Back
Top Bottom