Depal
JF-Expert Member
- Nov 26, 2018
- 47,155
- 188,568
Oh! Kwanini? Au kwa kuwa sijaongea?Wewe hakuna shida
Oh! Kwanini? Au kwa kuwa sijaongea?Wewe hakuna shida
Umemsikia lini? Aagh wewe! Asubuhi ya Leo kabisa!!??Asbh nimemskia Marehem Mama Rwakatale...akasema alichogundua watz wengi tuna roho ya CHUKI!..naishia hapa!
HapanaOh! Kwanini? Au kwa kuwa sijaongea?
Waliweka mazungumzo yake na Harris Kapiga...! Hajaongea leo.ya nyuma hukoUmemsikia lini? Aagh wewe! Asubuhi ya Leo kabisa!!??
Basi rekebisha isije ikawa kama huyuWaliweka mazungumzo yake na Harris Kapiga...! Hajaongea leo.ya nyuma huko
😂😂😂😂Umemsikia lini? Aagh wewe! Asubuhi ya Leo kabisa!!??
Hongera sana, pambana usikatishwe tamaa na maneno yetu mtandaoni.ndio mimi mkuu
Ngoja Corona iishe maanake tunaweza kuchapwa viboko na wajomba!
Kubet ofisi zote zimefungwa,maana ligi zote za soka duniani zimesimama