Thesis
JF-Expert Member
- Aug 30, 2017
- 1,805
- 3,085
Just wait, muda si mrefu hakutakuwa na mtu wa kujenga. Uchumi unaenda kuanguka vibaya sana endapo gonjwa hili litaendelea kwa miezi mitano ijayo duniani. Uchumi utaanguka vibaya, biashara karibu zote zitaanguka, tunaweza rudi kwenye kubadilishana kitu kwa kitusisi wauza hardware kidogo afadhari.
Kiboko yetu tukiambiwa tukae lock down.
Asikwambie mtu kukaa nyumbani baba,mama watoto kunachoshaaaa.
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
Sent using Jamii Forums mobile app