Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 73,819
- 225,606
Tuma na ya kutolea na akiba ya kubaki kwenye simuNitume na ya kutolea?
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuma na ya kutolea na akiba ya kubaki kwenye simuNitume na ya kutolea?
Unabisha kwamba haya mambo hayapo au unabisha kutetea kundi ambalo na wewe ni mmojwapo?Summarization.
1. Anamiliki laptop si unajua vile tuko uchumi wa kati!!
2. Yuko mkoani kikazi, means ameshalamba perdiem yake thoe sijui ni ngapi per day
3. Ana upungufu wa nguvu za kiume sijui ni kibamia chake tu.
4. Alizoea kula nyeusi sasa akakutana na nyeupe ikamtoa nje ya mchezo.
5. Some percent ya wanawake wa karne hii eti wanajiuza. Cha ajabu huyo hawara aliye lala nae hakumdai chake. Sasa ni kujiuza gani huko? Ama alikopeshwa
6. Hii ni chai kama chai zingine tu.
Mkuu mimi sibishi wala sikubali sababu sijaprove hizo mambo then I'm not among them.Unabisha kwamba haya mambo hayapo au unabisha kutetea kundi ambalo na wewe ni mmojwapo?
Nyuzi kama hizi usiwe na soma tafadhali,tuachie sisi
Kwa taarifa yako huwa nasoma zoteNyuzi kama hizi usiwe na soma tafadhali,tuachie sisi
Hayo mambo mengi uliyoyaandika umeyapata wapi, mbona mimi sijayaona kwenye andiko au lengo lako lilikuwa nini?Mkuu mimi sibishi wala sikubali sababu sijaprove hizo mambo then I'm not among them.
tuwatafune tu hakuna namnaMapokeo ya utandawazi
Hadi ule wa kimasihara?
Hatukupeana pesa lakini yule kwa ushahidi wote anajiuzaNilitegemea stori ya OP iwe hivi"Nimetongoza kademu na siku tatu baada ya kukagegeda kakaniomba 560k kakanunue samsung galaxy A30s"..hapa atleast ungekuwa umetetea hoja ya "wanawake kujiuza indirently"
Ukimpenda mtu lazima utatoaAkuuuuuu!!Sisi tuliookoka tukituma na ya kutolea ni dhambi!