Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,701
- 9,779
Ama kweli, dunia inakwenda kasi sana. Kimvutiacho mwanaume dhidi ya mwanamke ni Nyashi. (Kiuno fulani hivi mbudule cha Nyigo, matikiti kudondokeana yaliyododa na kugawanyika ipasavyo, bila kusahau Nyonga mbinuko, zote mbili)
Miaka ya sasa kumeibuka kaugonjwa ka KE walio wengi kupoteza mvuto wao wa awali. Haka ka utafiti nimekafanya kwa miaka mitatu mfululizo. Yaani mwaka huu 2024 unakutana na mwanamke mwenye umbo lake la kutaraadad kama vile kajiumba mwenyewe, toto totolito kweli, mzigo huoooo mpaka nguo inataka pasuka, yaani ni full ndembe ndembe mwanapacome, kiasi kwamba Nick Minaj akasome. Cha ajabu Jan ya mwaka 2025, unabahatika kuonana na huyo mwanamke akiwa kama moja hata kizugio tu cha kumtofautisha ujinsia hana. Unakuta kabakiza sura tu
Ama, kitumbo mbele mbele kama fisadi, utambi huoooo, halafu cha kusikitisha nyuma kumekuwa pasid, mtindi huooo, yaani kama tisa vile. Shavu sasa kama Mifuko ya Ilala Bonyokwa
Nahisi ni mabadiliko ya tabia nchi sijui Ama njaa imezidi, ama sijui ni maawazo ya vikoba. Mi sielewi kabisa kwa kweli, labda tusaidizane kutambua
Kwa mimi binafsi, kila mwanamke ambaye alinikataa kuwa nami kimahusiano, alipoteza mvuto mwaka mmoja tu tokea kunikatili. Wengi wao hurejea kwangu wakiwa wanatia huruma pasi na kupatiwa rehema ya aina yoyote ile. Kuna Salome (amekuwa gunia), kuna Mary, kuna Eliza na rafikiye Pamela, kuna Nasra, hawa wamekuwa moja, wote wamepoteza mionekano yao ya mwanzo
Kipi kifanyike?
Miaka ya sasa kumeibuka kaugonjwa ka KE walio wengi kupoteza mvuto wao wa awali. Haka ka utafiti nimekafanya kwa miaka mitatu mfululizo. Yaani mwaka huu 2024 unakutana na mwanamke mwenye umbo lake la kutaraadad kama vile kajiumba mwenyewe, toto totolito kweli, mzigo huoooo mpaka nguo inataka pasuka, yaani ni full ndembe ndembe mwanapacome, kiasi kwamba Nick Minaj akasome. Cha ajabu Jan ya mwaka 2025, unabahatika kuonana na huyo mwanamke akiwa kama moja hata kizugio tu cha kumtofautisha ujinsia hana. Unakuta kabakiza sura tu
Ama, kitumbo mbele mbele kama fisadi, utambi huoooo, halafu cha kusikitisha nyuma kumekuwa pasid, mtindi huooo, yaani kama tisa vile. Shavu sasa kama Mifuko ya Ilala Bonyokwa
Nahisi ni mabadiliko ya tabia nchi sijui Ama njaa imezidi, ama sijui ni maawazo ya vikoba. Mi sielewi kabisa kwa kweli, labda tusaidizane kutambua
Kwa mimi binafsi, kila mwanamke ambaye alinikataa kuwa nami kimahusiano, alipoteza mvuto mwaka mmoja tu tokea kunikatili. Wengi wao hurejea kwangu wakiwa wanatia huruma pasi na kupatiwa rehema ya aina yoyote ile. Kuna Salome (amekuwa gunia), kuna Mary, kuna Eliza na rafikiye Pamela, kuna Nasra, hawa wamekuwa moja, wote wamepoteza mionekano yao ya mwanzo
Kipi kifanyike?