Makuku Rey
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 3,387
- 3,575
Nipo nawafuatilia kwa ukaribu kabisa.
Huyu hapaMembe wa
Membe asiyekuwa na mvuto wowote.
RubbishMkuu Kiongozi Wa Wajuaji, kwanza asante kunidhania mimi ni insider, the truth is, I'm not an insider.
Pili Joka la Mdimu sio dili kwa 2025, rais wetu kwa 2025 ni huyu Voices From Within: Japo 2025 Tumepanga Twende na Mwanamke, Sauti Imeshauri Mama Amkabidhi Kwanza Dr. Mwinyi, Urais wa JMT, Ndipo Aje Mwanamke!
P
ACT walimpiga pesa zake, naona Kuna wajanja huku napo wanataka kumpiga tena.Niguse ninuke
Endelea kuota😀Siku moja nilikuwa Dodoma, jioni nikafika kwenye hotel moja inaitwa Morena kwaajili ya chakula cha jioni. Huwa napenda kwenda maeneo ya vile hususani nyakati za jioni maana kuna mengi waweza kujifunza japo vyakula vyao ni bei ghali.
Katika meza nyingine walikuwepo wabunge wawili wa chama tawala na vijana wawili ambao sikuwatambua ila inaonesha walikuwa pamoja na wale wabunge.
Kijana mmoja kati ya wale alikuwa anaongea wazi wazi bila kupepesa macho kuwa Rais ajaye ni Membe, cha ajabu hakuna mheshimiwa aliyepinga zaidi walitaka afunguke zaidi.
Jamaa akasema mengi na mwisho akasema upo mkakati unao ratibiwa na mtu aliyemwita "BABU" na lengo ni kumwingiza Rais chaka kupitia ushauri, kijana akasema hilo lilifanyika hata awamu ya JPM ila ndani ya miezi 3 JPM alihisi kuna kitu hakipo sawa kuanzia pale akawa anawauliza watu wachache sana issue zinazo hitaji ushauri.
Kijana alisema jambo kama hilo liliratibiwa vizuri baada ya JPM kufariki na mrithi wake ameingia mtegoni na kamwe hawezi kunasuka, na 2025 Rais ni Membe (alisema kijana yule)
Mimi Bei Elekezi nakuwaga mjanja kwenye mbinu za kunasa watoto wazuri na ni Genius wa kuwafikisha kileleni ila mambo ya siasa huwa sifuatilii sana maana mwisho wa siku najua jukumu langu ni kutafuta pesa kwaajili ya ustawi wa familia yangu na fedha kidogo ya kuhonga mademu.
Hivyo sikutilia sana maanani mambo ya yule kijana nikahisi labda amelewa au ni chambo labda anataka kusikia watu watasemaje ila nikawaza kuwa wale wahenga waliosema lisemwalo lipo walimaanisha nini?
Msiwe na mihemko jamaniSiku moja nilikuwa Dodoma, jioni nikafika kwenye hotel moja inaitwa Morena kwaajili ya chakula cha jioni. Huwa napenda kwenda maeneo ya vile hususani nyakati za jioni maana kuna mengi waweza kujifunza japo vyakula vyao ni bei ghali.
Katika meza nyingine walikuwepo wabunge wawili wa chama tawala na vijana wawili ambao sikuwatambua ila inaonesha walikuwa pamoja na wale wabunge.
Kijana mmoja kati ya wale alikuwa anaongea wazi wazi bila kupepesa macho kuwa Rais ajaye ni Membe, cha ajabu hakuna mheshimiwa aliyepinga zaidi walitaka afunguke zaidi.
Jamaa akasema mengi na mwisho akasema upo mkakati unao ratibiwa na mtu aliyemwita "BABU" na lengo ni kumwingiza Rais chaka kupitia ushauri, kijana akasema hilo lilifanyika hata awamu ya JPM ila ndani ya miezi 3 JPM alihisi kuna kitu hakipo sawa kuanzia pale akawa anawauliza watu wachache sana issue zinazo hitaji ushauri.
Kijana alisema jambo kama hilo liliratibiwa vizuri baada ya JPM kufariki na mrithi wake ameingia mtegoni na kamwe hawezi kunasuka, na 2025 Rais ni Membe (alisema kijana yule)
Mimi Bei Elekezi nakuwaga mjanja kwenye mbinu za kunasa watoto wazuri na ni Genius wa kuwafikisha kileleni ila mambo ya siasa huwa sifuatilii sana maana mwisho wa siku najua jukumu langu ni kutafuta pesa kwaajili ya ustawi wa familia yangu na fedha kidogo ya kuhonga mademu.
Hivyo sikutilia sana maanani mambo ya yule kijana nikahisi labda amelewa au ni chambo labda anataka kusikia watu watasemaje ila nikawaza kuwa wale wahenga waliosema lisemwalo lipo walimaanisha nini?
Hebu jisikie aibu kwa hizi pumba zako ulizoandika hapa. Halafu unajiita genius, anyway tambua kuanzia sasa kuwa wewe ni PUMBAVU tuMimi Bei Elekezi nakuwaga mjanja kwenye mbinu za kunasa watoto wazuri na ni Genius wa kuwafikisha kileleni ila mambo ya siasa huwa sifuatilii sana maana mwisho wa siku najua jukumu langu ni kutafuta pesa kwaajili ya ustawi wa familia yangu na fedha kidogo ya kuhonga mademu.
Hivyo sikutilia sana maanani mambo ya yule kijana nikahisi labda amelewa au ni chambo labda anataka kusikia watu watasemaje ila nikawaza kuwa wale wahenga waliosema lisemwalo lipo walimaanisha nini?
Kama lile limzoga la pale Chattle?Kazikeni limzoga lenu kwanza
Vipi kachero hakumuomba Makamba amuweke kwenye kundi la watu wema?Kama lile limzoga la pale Chattle?
Unasema?Siku moja nilikuwa Dodoma, jioni nikafika kwenye hotel moja inaitwa Morena kwaajili ya chakula cha jioni. Huwa napenda kwenda maeneo ya vile hususani nyakati za jioni maana kuna mengi waweza kujifunza japo vyakula vyao ni bei ghali.
Katika meza nyingine walikuwepo wabunge wawili wa chama tawala na vijana wawili ambao sikuwatambua ila inaonesha walikuwa pamoja na wale wabunge.
Kijana mmoja kati ya wale alikuwa anaongea wazi wazi bila kupepesa macho kuwa Rais ajaye ni Membe, cha ajabu hakuna mheshimiwa aliyepinga zaidi walitaka afunguke zaidi.
Jamaa akasema mengi na mwisho akasema upo mkakati unao ratibiwa na mtu aliyemwita "BABU" na lengo ni kumwingiza Rais chaka kupitia ushauri, kijana akasema hilo lilifanyika hata awamu ya JPM ila ndani ya miezi 3 JPM alihisi kuna kitu hakipo sawa kuanzia pale akawa anawauliza watu wachache sana issue zinazo hitaji ushauri.
Kijana alisema jambo kama hilo liliratibiwa vizuri baada ya JPM kufariki na mrithi wake ameingia mtegoni na kamwe hawezi kunasuka, na 2025 Rais ni Membe (alisema kijana yule)
Mimi Bei Elekezi nakuwaga mjanja kwenye mbinu za kunasa watoto wazuri na ni Genius wa kuwafikisha kileleni ila mambo ya siasa huwa sifuatilii sana maana mwisho wa siku najua jukumu langu ni kutafuta pesa kwaajili ya ustawi wa familia yangu na fedha kidogo ya kuhonga mademu.
Hivyo sikutilia sana maanani mambo ya yule kijana nikahisi labda amelewa au ni chambo labda anataka kusikia watu watasemaje ila nikawaza kuwa wale wahenga waliosema lisemwalo lipo walimaanisha nini?